Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ni uchafu kuliko maelezo ,hata haielezeki ...eti wanajiita wasomi.
ila mwananfunzi ni mwanafunzi tu.
Mwanasheria wa UDASA anawachapa CCM,kutupa maoni ya waoni ya wananchi
Ndiyo.
La Lisu very simple mkuu.
Ukifaham mnachokifanya nikutoa mimba-mnafanya mauwaji, hutakiwi kabisa kushiriki utowaji mimba ukifahamu fika
unafanya mauwaji ukitaraji Ukifika mahakamani hakimu ataamua kama nikweli au hapana. Unaweza kuhonga na hakimu
akasema hukushiriki kufanya mauwaji bali ulifika kumsaidia mama aliyezidiwa siumesalimika japo unafaham fika ulishirika kuuwa.
Kesi umeshinda kwasababu umehonga na umemrubuni hakimu
-CCM inauwezo mkubwa wa kufanya madhila na ushenzi wa kuhonga nahivyo ikaonekana waananchi wameipitisha kumbe
uraghai na udanganyifu umetumika (hila ya ccm imejificha hapa-Rushwa na utapeli)
UKAWA wasishiriki kupitisha upuuzi, watakuwa wameshiriki na kubariki Katiba mbovu - Inayoiva haraka huoza haraka
We sio mzima.
Yaani wanapiga kelele kama mazuzu badala ya kusikiliza mjadala na kujenga hoja.
asante mkuu, nimekuelewa vema hususani INAYOIVA HARAKA HUOZA HARAKA