Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi maswali mawili aliyouliza kitila yanajibika kweli?
Mimi hata siangalii upuuzi huo wa ccm.Nasubiri kesho ubungo plaza
Mwigulu is maturing.... I never liked this guy but i can say he is maturing
150000
yaani nashangaa sana kuona wanafunzi wanaojiita wasomi wa chuo kikuu wakifanya ujinga kwa mdahalo unaoendelea udsm .
Wanafanya ushabaki na kuzomea kama watoto wa darasa la kwanza , hakuna maelewano,wanachokifanya,hawna hoja wanabaki kuzomea .
Kweli mwanafunzi ni mwanafunzi tu ,wote wana tabia za kitoto,hata uwe mwnanafunzi wa chuo kikuu.
Hakuna wanachokifanya hapo ,hawafikii kuonyeshea muafaka wowote bali ni yale yale tu ushabaki kama yanayoendelea kwenye bunge la katiba.
Ni bora wabunge wa bunge la katiba kuliko wanafunzi wanajiita wasomi wa chuo kikuu.
shame on you.
umesahau kuwa ni juzi tu WASIRA aliwachachafia UKAWA watatu akiwemo LISSU, leo atakuwa na jipya gani mbele ya Wasira?
Upande wa Interahamwe team itakuwa nawachezaji 3 dhidi ya mwana Ukawa Tundu lisu,tulio mbali tutahudhiria kwenye Tv kumuunga mkono mzalendo mwenzetu Lisu
Safi sana kwakutupa habari tupo pamoja tutampa ushirikiano mwanaharakati wa ukweli Tundu.intaraham watakuja na umbumbumbu wao na ujinga Wakuwabeba mafisadi wakati wao wanateseka na minyoo
Msije anza kuzomea zomea sasa maana amkawii jamaa wa Bunda akianza vijembe mnaanza maana atakuwa anasaidiwa na Nape pia mtulie msikilize mambo na pia msikilize na Tundu Lissu
Kila mmoja?
Kazi nzuri Mwigulu...tumekusikia!!
wanafunzi wapo likizo, wengine field, wengi wamemaliza, waliopo nkurumah ni makada wa vyama
Mwigulu hata sijamuelewa bora msemaji wa ccm angekuwa wassira peke yake...
Mwanasheria wa UDASA anawachapa CCM,kutupa maoni ya waoni ya wananchi