Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,264
- 678
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushabiki ww.....wadanganye wasio angalia
Mkuu naona hivi sasa umegeuka kuwa mtetezi wa CCM mzuri sana.
Nakumbuka siku si nyingi sana nawe ulikuwa unakosoa utawala huu huu.
Nanukuu posts zako ambazo si za zamani sana.
Nina maswali kidogo kwako.
1. Hivi CCM imebadilika nini hasa ambacho kimekufanya uanze kuona nia njema kwao, nia ambayo mwanzoni hukuiona?
2. Nini kimetokea kwako hata ukabadili msimamo mara moja na kuanza kuwaunga mkono hao uliowaona mwanzo ni wakandamizaji?
3. Ni mabadiliko yako mwenyewe binafsi, au kuna ushawishi wa watu wengine?
Majibu ya maswali haya yatatusaidia hata sisi wengine tunaoona ukandamizaji wa CCM mpaka sasa.
Nikweli lkn km naww unangalia TV tuhabarishe wanachoongea hao waalikwa
Humphrey Polepole
******MDAHALO MDAHALO MDAHALO MDAHALO MDAHALO*******
UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI SASA KATIKA MCHAKATO WA KUPATA KATIBA MPYA
SIKU:
JUMATATU TAREHE 4 AGOSTI 2014 UKUMBI: HOTELI YA BLUE PEARL UBUNGO PLAZA
SAA:
MJADALA UTAANZA SAA 7 MCHANA KWA ELIMU YA MCHAKATO NA RASIMU
NA UTARUSHWA LIVE NA ITV KUTOKA SAA 9 HADI 12 JIONI
WAZUNGUMZAJI WAKUU:
MWENYEKITI WA TUME YA KATIBA JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA,
DR. SALIM AHMED SALIM WAZIRI MKUU MSTAAFU
NDUGU JOSEPH BUTIKU- MKURUGENZI MTENDAJI WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE
PAMOJA NA,
MWATUMU MALALE- MTUMISHI WA UMMA MWANDAMIZI MSTAAFU
PROFESA PALAMAGAMBA KABUDI- SHULE KUU YA SHERIA, CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
AWADH ALI SAID- RAIS WA CHAMA CHA WANASHERIA ZANZIBAR
NA,
HUMPHREY POLEPOLE- KIJANA MDAU WA MAENDELEO
MDAHALO UMEANDALIWA NA:
TAASISI YA MWALIMU NYERERE
USIKOSE KUSHIRIKI KATIKA MDAHALO MUHIMU
Hiyo ni mdahalo wa Magamba, hakuna jipya hapo. Mamluki wa magamba yamejaa ukumbini hapo, hawajui hata wanalolipigia makofi....
mpangala hajui anacho kisema. nadhani umli
No research no rights to speak! Sasa vijana wa Bavicha karibu matusi
naona makofi yamepungua baada ya Prof. Mpangala kugonga kichwa