OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #501
UDASA-CCM imeaibika leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm wanakosea sana maana hao watoto wanakuja hawajui chochote ila wanaondoka wanamjua lissu na wanajua kuwa ccm ndio walio haribu mchakato ... they will never remain the sameUkumbi wa mkurumah umesheheni watoto mathalani wa darasa LA tano ambao wala hawasikilizi kinachoongelewa na watoa mada Bali wa hupiga makofi tuu
Hii ndiyo Tanzania
Leo Lissu atajuta kupotosha!
Kinachoendelea hapo UDSM ni uharo mtupu..
Hii nchi ikiingia vitani ndo maccm yatajua watu wa nchi hii si kama ya mwaka 1961
hivi mbona tundu lissu haambatani na mbowe kwenye ukawa? au ndo keshaanza kupotezewa.
hii fasihi imeenda shule..Ukitaka kumua nyani usimuangalie usoni. CCM wanafikiri sura ya Wassira itamponya! Tundu Lissu usimuangalie Wassira usoni maana unaweza kuingiwa na huruma.
BTW hivi msimamo wa ACT kuhusu katiba mpya ni upi Dr Mkumbo?
Huu mdahalo utamalizika kweli