Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdahalo wa Rasimu ya Katiba ipi? Ya CHADEMA iliyochakachuliwa au hi ya taifa iliyowqpeleka Ikulu kunywa juice?
startime imekatika na huduma kwa wateja haipatikani.
RadioOne | Stereowaweza pia sikiliza Radio one
acha u k wewe mwanaume unae lelewa na mwanaume mwenzio angalia utaolewa kwa mara ya pili.Mdahalo wa Rasimu ya Katiba ipi? Ya CHADEMA iliyochakachuliwa au hi ya taifa iliyowqpeleka Ikulu kunywa juice?
Mkuu kumbe wabara hatuna uraia! Tupo kotekote kama mashoga. Yule jamaa toka Zenj kasema uraia sie wabara huenda ni Ughaibuni. Dharau nataka kupasua Tv,au niiache?nipo mbele ya Tv this time,startimes ndiyo inanikera kama nini!!
Mjinga mkubwa wewe watakulea wewe mpaka mkeo.Mimi ningeshangaa kama mawaziri wangeshiriki make sioni umhimu wa huo mdahalo make rasimu ipo tayari na tume inafanyia kazi kwa kuchambua maoni sasa hawa wanafanya madahalo halafu maoni yao wayapeleke kwa nani kazi zingine za kijungunjiko kweli.