Pre GE2025 Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!

Pre GE2025 Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bwahaaa bwahaaaa nimecheka kwa nguvu vibaya, katibu mkuu wa ccm kama kawaida kaweka mpira kwapani. Jambo hili nililitegemea maana ccm hawawezi siasa za haki, bali wanategemea siasa za mbeleko.
Tlaatlaah Lucas Mwashambwa
Kushiriki mdahalo kuna mambo mawili:

1) kama huna akili na uwezo, unaenda kujiabisha na kukiabisha chama unachokiwakilisha.

2) ukiwa na akili na uwezo, unaenda kutengeneza heshima yako na kukiheshimisha chama chako.

LAKINI kwa ukweli kuwa:

"CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga"; hivyo tusitegemee hata siku moja CCM itashiriki mdahalo wowote ule kwa sababu wanajua uwezo wao unapoishia.
 
Itapendeza kuwekwe mdahalo kipindi cha campaign za uraisi.

Itapendeza zaidi Lissu awe mmoja wa wagombea na afanye mdahalo na Hangaya bila ya maswali kuwa scripted
 
Bwahaaa bwahaaaa nimecheka kwa nguvu vibaya, katibu mkuu wa ccm kama kawaida kaweka mpira kwapani. Jambo hili nililitegemea maana ccm hawawezi siasa za haki, bali wanategemea siasa za mbeleko.
Tlaatlaah Lucas Mwashambwa
ingekua ajabu ya dunia, eti daktari mzima wa falsafa Comrade Dr.Emmanuel Nchimbi kushiriki hicho kinachoitwa mdahalo usio na kichwa wala miguu, na hao vijanaa waliobebeshwa tu majina ya ukatibu mkuu kwenye vyama vyao, lakini kiuhalisia ni shadow SGs, hawana hadhi wala uwezo wa majukumu hayo kitaalamu 🐒
 

Fuatilia live Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa Maktaba ya UDSM.​

Fuatilia mubashara Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa Maktaba ya UDSM ambapo wanaotazamiwa kushiriki ni;

1. Dk. Emmanuel Nchimbi - CCM
2. Martha Chiomba - NNCR Mageuzi
3. Ado Shaibu ACT Wazalendo
4. Ahmad Masoud - CUF
5 John Mnyika - CHADEMA


Odemba akitangaza kwa masikitiko makubwa huku akilia amewaambiwa waliofika kwenye mdahalo huo kuwa Nchimbi mpaka muda huu hajatokea kwenye mdahalo, ambapo Mnyika amefika kwenye mhalo huo lakini kutokana na kuwa Nchimbi hayupo hivyo naye hatoshiriki kwenye mdahalo huo.

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shahibu amefika kwenye mdahalo huo, lakini kwakuwa wa CHADEMA na CCM hawashiriki naye pia amegoma kushirki, NCCR Mageuzi walituma mwakilishi, ila kwakuwa wengine hawashirki nao pia wamesema hawatashiriki.

Odemba amelaani vikali kilichotokea, lakini mjadala unaendelea hata baada ya changamoto hii kutokea ambapo yaliyopangwa kujadiliwa yatakuwa mjadala wa wazi kwa washiriki waliofika.

Sijui kwa nini viongozi wetu wanaogopa midahalo.
 

Fuatilia live Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa Maktaba ya UDSM.​

Fuatilia mubashara Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa Maktaba ya UDSM ambapo wanaotazamiwa kushiriki ni;

1. Dk. Emmanuel Nchimbi - CCM
2. Martha Chiomba - NNCR Mageuzi
3. Ado Shaibu ACT Wazalendo
4. Ahmad Masoud - CUF
5 John Mnyika - CHADEMA


Odemba akitangaza kwa masikitiko makubwa huku akilia amewaambiwa waliofika kwenye mdahalo huo kuwa Nchimbi mpaka muda huu hajatokea kwenye mdahalo, ambapo Mnyika amefika kwenye mhalo huo lakini kutokana na kuwa Nchimbi hayupo hivyo naye hatoshiriki kwenye mdahalo huo.

Hata angekuwapo naona kusingekuwa na tija. Background ya sauti ni mwangwi mtupu, hakuna kinachisikika. Star TV mitambo yao ni ya HOVYO
 
A
Katibu Mkuu wetu Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Yupo kwenye vikao vizito sana katika maandalizi ya kikao maalumu cha Kamati Kuu ya CCM Taifa kitakachoketi Tarehe 2 septemba chini ya uwenyekiti wa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Hivyo hawezi kuacha vikao hivi halafu aende huko kwingine.Kumbuka macho na masikio yoote ya watanzania yameelekezwa kwenye vikao vya CCM na kusubiri kwa hamu na shauku kubwa na nzito Maazimio yake.View attachment 3083807
Nasema hivi, nimecheka kwa nguvu vibaya. Hayo ndio madhara ya kufanya siasa za kutegemea mbeleko za vyombo vya dola, mkiitwa sehemu isiyo na mbeleko ya vyama vya siasa. Nani ana muda wa kufuatilia mkutano wa chama cha majizi, yaani watu wafuatilie mkutano wa kupanga watu kutekwa!
 
A
Katibu Mkuu wetu Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Yupo kwenye vikao vizito sana katika maandalizi ya kikao maalumu cha Kamati Kuu ya CCM Taifa kitakachoketi Tarehe 2 septemba chini ya uwenyekiti wa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Hivyo hawezi kuacha vikao hivi halafu aende huko kwingine.Kumbuka macho na masikio yoote ya watanzania yameelekezwa kwenye vikao vya CCM na kusubiri kwa hamu na shauku kubwa na nzito Maazimio yake.View attachment 3083807
Nasema hivi, nimecheka kwa nguvu vibaya. Hayo ndio madhara ya kufanya siasa za kutegemea mbeleko za vyombo vya dola, mkiitwa sehemu isiyo na mbeleko ya vyombo vya lazima mkimbie. Nani ana muda wa kufuatilia mkutano wa chama cha majizi, yaani watu wafuatilie mkutano wa kupanga watu kutekwa!
 

Fuatilia live Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa Maktaba ya UDSM.​

Fuatilia mubashara Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa Maktaba ya UDSM ambapo wanaotazamiwa kushiriki ni;

1. Dk. Emmanuel Nchimbi - CCM
2. Martha Chiomba - NNCR Mageuzi
3. Ado Shaibu ACT Wazalendo
4. Ahmad Masoud - CUF
5 John Mnyika - CHADEMA


Odemba akitangaza kwa masikitiko makubwa huku akilia amewaambiwa waliofika kwenye mdahalo huo kuwa Nchimbi mpaka muda huu hajatokea kwenye mdahalo, ambapo Mnyika amefika kwenye mhalo huo lakini kutokana na kuwa Nchimbi hayupo hivyo naye hatoshiriki kwenye mdahalo huo.

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shahibu amefika kwenye mdahalo huo, lakini kwakuwa wa CHADEMA na CCM hawashiriki naye pia amegoma kushirki, NCCR Mageuzi walituma mwakilishi, ila kwakuwa wengine hawashirki nao pia wamesema hawatashiriki.

Odemba amelaani vikali kilichotokea, lakini mjadala unaendelea hata baada ya changamoto hii kutokea ambapo yaliyopangwa kujadiliwa yatakuwa mjadala wa wazi kwa washiriki waliofika.

Walipata barua ya uthibitisho wa kushiriki?
 
Katibu Mkuu wetu Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Yupo kwenye vikao vizito sana katika maandalizi ya kikao maalumu cha Kamati Kuu ya CCM Taifa kitakachoketi Tarehe 2 septemba chini ya uwenyekiti wa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Hivyo hawezi kuacha vikao hivi halafu aende huko kwingine.Kumbuka macho na masikio yoote ya watanzania yameelekezwa kwenye vikao vya CCM na kusubiri kwa hamu na shauku kubwa na nzito Maazimio yake.View attachment 3083807
Ujinga huo, macho na masikio ya watanzania yanataka kufahamu kuhusu mambo kadhaa yanayoendelea nchini si mambo ya ndani ya chama chenu! Haya ya nje ambayo yangejadiliwa ni muhimu kuliko hayo ya ndani ya chama! Kiburi na jeuri vimewajaa!
 
A
Katibu Mkuu wetu Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi Yupo kwenye vikao vizito sana katika maandalizi ya kikao maalumu cha Kamati Kuu ya CCM Taifa kitakachoketi Tarehe 2 septemba chini ya uwenyekiti wa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Hivyo hawezi kuacha vikao hivi halafu aende huko kwingine.Kumbuka macho na masikio yoote ya watanzania yameelekezwa kwenye vikao vya CCM na kusubiri kwa hamu na shauku kubwa na nzito Maazimio yake.View attachment 3083807
Nasema hivi, nimecheka kwa nguvu vibaya. Hayo ndio madhara ya kufanya siasa za kutegemea mbeleko za vyombo vya dola, mkiitwa sehemu isiyo na mbeleko ya vyombo vya lazima mkimbie. Nani ana muda wa kufuatilia mkutano wa chama cha majizi, yaani watu wafuatilie mkutano wa kupanga watu kutekwa!
 
Back
Top Bottom