Pre GE2025 Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Pre GE2025 Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwenyekiti Mbowe Kuna kikao Cha Bungeni aliweza kumfundisha mwigulu Akiwa naibu na boss wake Saada mkuya Uchumi wa kinadharia. Mbele ya makinda na CCM wakafyata.
Mbowe kafanya mahojiano na Kikeke, Clouds, Vyombo vya online.
Lakini Leo kamkimbia Omera Odemba🤣🤣🤣🤣
Mbona makamo wake yeye bado anamheshimu tu
 
Mwenye link tafadhali, tanesco wameahafanya yao
 
Back
Top Bottom