Mnanguliti
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 490
- 1,351
Mbowe kwa sasa ana elements zote za Ccm hawezi kukubali mdahalo kama tu walivyo wafadhili wake mbogamboga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nipo nyuma ya Yohana Mbatizaji, halafu kesho alfajiri napanda SGR kwenda Dodoma!Na wewe umo?😅
Mtu mhimu amekosekana mbona hapo.Naona Lisu anafanya mdahalo mwenyeweKutakuwa na mdahalo wa wagombea uenyekiti wa Chadema leo kuanzia saa 3:30 usiku pale Star Tv.
wagombea wanaotarajia kuwepo kwenye mdahalo huo ni pamoja na jabali wa siasa, Tundu Lissu pamoja na Odero Odero.
Freeman Mbowe hatahudhuria mdahalo huo kwasababu ambazo zipo nje ya uwezo wake.
Msimamizi wa mdahalo huo atakuwa Chief Odemba mtaalam wa mahojiano.
Live updates zitakujia hapaView attachment 3204664
Kashauriwa na Chawa wake asitokeeMkiti Mbowe imekuaje ten
Kwa mla rushwa na mbadhirifu wa mali za umma kama CCM uko sahihiHamna jipya hapo toka kwa Lissu ni mitusi na lawama sizizo na msingi.