Pre GE2025 Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Pre GE2025 Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tundu Lissu: Tume ya Uchaguzi, ni tume ya Rais. Wafanyakazi wa tume wanakula kiapo kwa Rais
 
Odemba: Mlisema hamtashiriki uchaguzi wowote,mbona baadae mnashiriki?

Lissu: Chini ya uongozi wangu hakuna kitu kama hicho, mwenyekiti atatoa msimamo wa wananchi. Tumekuwa na ndimi mbili huko nyuma. Tunasema hatutashiriki huku tunaandaa watu wagombee
 
Leo Lissu ataniua mbavu, hii moto na barafu nacheka mno.
 
Kutakuwa na mdahalo wa wagombea uenyekiti wa Chadema leo kuanzia saa 3:30 usiku pale Star Tv.

wagombea wanaotarajia kuwepo kwenye mdahalo huo ni pamoja na jabali wa siasa, Tundu Lissu pamoja na Odero Odero.

Freeman Mbowe hatahudhuria mdahalo huo kwasababu ambazo zipo nje ya uwezo wake.

Msimamizi wa mdahalo huo atakuwa Chief Odemba mtaalam wa mahojiano.

Live updates zitakujia hapaView attachment 3204664
Mtu mhimu amekosekana mbona hapo.Naona Lisu anafanya mdahalo mwenyewe
 
Back
Top Bottom