Pre GE2025 Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Pre GE2025 Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu: Mimi sitakua kiongozi ambaye huku anatema moto na huku anatema barafu🤪😂
 
Tunahitaji harakati ambazo hazijawahi kutokea, kuunganisha nguvu ya makundi yote kila mtu. Hapo inahitaji mtu mwenye credibility...Lissu
 
Kutakuwa na mdahalo wa wagombea uenyekiti wa Chadema leo kuanzia saa 3:30 usiku pale Star Tv.

wagombea wanaotarajia kuwepo kwenye mdahalo huo ni pamoja na jabali wa siasa, Tundu Lissu pamoja na Odero Odero.

Freeman Mbowe hatahudhuria mdahalo huo kwasababu ambazo zipo nje ya uwezo wake.

Msimamizi wa mdahalo huo atakuwa Chief Odemba mtaalam wa mahojiano.


View: https://www.youtube.com/watch?v=FfS5cmy-nSk

Live updates zitakujia hapaView attachment 3204664

Mbowe HAWEZI kushiriki mdahalo na Mropokaji Lissu.
 
Odemba: Chadema mmekuwa na matokeo mabaya kwenye chaguzi mbalimbali, ipi mipango yako ikiyokea utashinda nafasi ya mwenyekiti?

Lissu: Niweke wazi kwanza, Chadema hatushindwi kwenye chaguzi, bali wagombea wetu huzuiliwa kugombea.

Nikiwa mwenyekiti, nitaunganisha nguvu kwa makundi mbalimbali ili kupambana na mfumo huu wa CCM
 
Odero amuunge mkono Lissu atapata kura moja yake mwenyewe 😹
 
Back
Top Bottom