OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 434
okl lkn pia dk slaa ataulizwa simple question
nini uhusiano wake na kanisa katoliki?
na kikwete ataulizwa uhusiano wake na uislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
okl lkn pia dk slaa ataulizwa simple question
nini uhusiano wake na kanisa katoliki?
Hata MS akikimbilia kwenye udini, hoja ya JK kuhusishwa na wizi wa hela za wananchi iko pale pale, na ndiyo maana JK ka-develop rubbery legs kukwepa mdahalo. Marando toboa -- usifiche kitu -- mafisadi na wapambe wao wanaojificha nyuma ya pazia la udini wanahangaika bure tu, lazima watokomezwe. Wanachi wanataka kieleweke!!! CCM MTAJIBEBA!
okl lkn pia dk slaa ataulizwa simple question
nini uhusiano wake na kanisa katoliki?
Hata MS akikimbilia kwenye udini, hoja ya JK kuhusishwa na wizi wa hela za wananchi iko pale pale, na ndiyo maana JK ka-develop rubbery legs kukwepa mdahalo. Marando toboa -- usifiche kitu -- mafisadi na wapambe wao wanaojificha nyuma ya pazia la udini wanahangaika bure tu, lazima watokomezwe. Wanachi wanataka kieleweke!!! CCM MTAJIBEBA!
kweli kuna vichwa vingine ni vibuyu tu! Hivi kweli kwenye kichwa chako kuna ubongo kweli au ni utupu tu? Ni uhusiano wa JK na uislamu? Nini uhusiano Ben au ML Nyerere na kanisa Katoriki! Yaani ungekuwa karibu hapa ningekuchalaza viboko!okl lkn pia dk slaa ataulizwa simple question
nini uhusiano wake na kanisa katoliki?
the most stupid question. sorry lakiniokl lkn pia dk slaa ataulizwa simple question
nini uhusiano wake na kanisa katoliki?
okl lkn pia dk slaa ataulizwa simple question
nini uhusiano wake na kanisa katoliki?
Nafikiri mtu mwenye mitizamo ya kidini kama huyu ndugu Malaria Sugu haina hata haja ya kujibizana naye, tutaonekana na sisi hatuko makini. Mimi mtu anayezungumzia UDINI karne hii kwa kweli namuona yuko nyuma ya muda mno, hastahili hata kujibiwa.okl lkn pia dk slaa ataulizwa simple question
nini uhusiano wake na kanisa katoliki?
phd ya kanisa?