Mdahalo wa Wagombea Urais Chama cha Mawakili Tanzania Bara (TLS) mwaka 2024

Mdahalo wa Wagombea Urais Chama cha Mawakili Tanzania Bara (TLS) mwaka 2024

Ivi IGA (mkataba wa bandari) unawezaje kua part ya hoja za mgombea raisi wa TLS🤔. Sio kwamba Advocate (professionalism) inakua inachanganyaa na Siasa?🙄​
 
Nimewasikiliza wagombea wote, kwa kweli wengi wao wanaongea bila kujiamini na hawana facts.

Wakili Mwabukusi anaongea kwa kujiamini na kutoa facts.

Amezungumzia suala la mikataba inayosainiwa na Serikali na baadae Serikali hushindwa mahakamani ikivunja mikataba husika baada ya kuona haiko sawa.
 
Nimewasikiliza wagombea wote, kwa kweli wengi wao wanaongea bila kujiamini na hawana facts.

Wakili Mwabukusi anaongea kwa kujiamini na kutoa facts.

Amezungumzia suala la mikataba inayosainiwa na Serikali na baadae Serikali hushindwa mahakamani ikivunja mikataba husika baada ya kuona haiko sawa.
Pamoja na wengi wenu kumsifia na kumtaka huyo ila kwa ninavyojua System huyo hata iweje hawezi kuwa Rais wa TLS.
 
Back
Top Bottom