Mdee na Wenzake leo kumwaga mboga kwenye Baraza Kuu

Mdee na Wenzake leo kumwaga mboga kwenye Baraza Kuu

Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Stupid of you, kwahiyo Mdee ali storm office ya Katibu Mkuu na kuchukua barua? Documents zinakaa ovyo ovyo kwenye ofisi ya KM. Rubbish!
 
Chadema mbona mnakua na mambo ya kisela sela namna hii?
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.

96% ya story yako ni kweli
 
Aisee uchawa mwingine nikujishushia heshima.Mdee akapenya hadi magerezani within I 24hrs wabunge wateule wakaapishwe.Kwa hiyo Mdee alikuwa na nguvu kuliko Simba wa Yuda.

Story iko hivyo Ila mtoa mada kuna vipengele ameviruka
 
Stupid of you, kwahiyo Mdee ali storm office ya Katibu Mkuu na kuchukua barua? Documents zinakaa ovyo ovyo kwenye ofisi ya KM. Rubbish!

Mdee alishiriki vikao vyote, na kwenye hiyo list ambayo ilichaguliwa I'm sure nyie wapiga kelele mngepiga kelele Zaid
 
Ulishasema na nani, ndio kusema ushahidi wako ume base kwenye mawazo ya mleta mada kwa evidence zipi. Pua.

Subirini vichawa vyenu vinyolewe ndipo mtakapojua kumbe hamuijui Chadema.
Sisi hatulitambui hili bunge hili na wabunge wake ni batili kabisa yaani .. Hatutaki sisi na huyu Mdee na wenzake hatuwatambui

Haya sasa leteni majina mapya ili mlitambue bunge na mpate ruzuku na uchaguzi ulikuwa safiii sana eeeh..
 
Sisi hatulitambui hili bunge hili na wabunge wake ni batili kabisa yaani .. Hatutaki sisi na huyu Mdee na wenzake hatuwatambui

Haya sasa leteni majina mapya ili mlitambue bunge na mpate ruzuku na uchaguzi ulikuwa safiii sana eeeh..
Kila chama na strategies zake, kama CCM waliona ili kuendelea kutawala ni kuiba kura kwanini Chadema wakitumia mbinu wanazoona wao zitawasaidia kwann tuwaingilie?
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Bange hii
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Kwamba ulichoandika ndo kiko kama hivo!
Sasa kama ndo hivo kungekuwa na kikao cha nini?
 
Aisee uchawa mwingine nikujishushia heshima.Mdee akapenya hadi magerezani within I 24hrs wabunge wateule wakaapishwe.Kwa hiyo Mdee alikuwa na nguvu kuliko Simba wa Yuda.
Nimeshangaa mie pia.
Ameandika kama vile katumwa kusambaza kujikinga au ndo Halima mwenyewe?
 
Tulishasema Uongozi wa CHADEMA upo nyuma ya wabunge-19 wa viti maalum.

Sasa wanatafuta njia za kujisafisha kwa wafuasi wao.

Yaaani wanapeleka majina ya wabunge viti maalum Bungeni na sio kwa Tume Uchaguzi[emoji16]

Tangu lini Bunge linapitisha majina ya Viti Maalum? [emoji848]
Uongoz wa Chadema ulienda kuvunja gereza na kumtoa Hanje akaapishwe na Ndugai?? Kwani unatumiaga nn kufikir??
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Kwa hii thread yako, umehitimisha tuhuma kuwa covi19 waliingia bungeni kwa kufoji
 
Hapo Ndugai alihusika 100%
Kwa kufanya matendo ya kuminya haki pamoja na madhambi mengi aliyoitendea CHADEMA na wana CHADEMA na wapinzani wengine, Ndugai anatakiwa kuomba msamaha hadharani na KUTUBU.
Hii itasaidia kuweka sawa na kusahihisha mambo mengi aliyoyavuruga na kuyapindisha kwa makusudi kama vile kuwaweka Bungeni hata waliyojiuzulu wenyewe kutoka vyama vyao. Mungu wa haki yu hai na ana subira.
 
N
Tulishasema Uongozi wa CHADEMA upo nyuma ya wabunge-19 wa viti maalum.

Sasa wanatafuta njia za kujisafisha kwa wafuasi wao.

Yaaani wanapeleka majina ya wabunge viti maalum Bungeni na sio kwa Tume Uchaguzi😁

Tangu lini Bunge linapitisha majina ya Viti Maalum? 🤔
Nani alimtoa Nusrat jela tena usiku?? Ili aapishwe kuwa mbunge!!
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Maelezo yako, hayawezi kumwingia mtu mwenye akili timamu.

Yaani Mnyika asaini barua halafu aikatae? Nani aliyemtoa aliyekuwa gerezani haraka ili akaape?

Lazima mtu awe hana akili kabisa kuyakubali maelezo yako haya. Ni uwongo uliotengenezwa na mtu asiye na akili. Ukiwa na akili, hata ukiamua kuandika uwongo, angalao utakuwa unaelekea kuwa karibu na ukweli.
 
Ngoja tuone leo kama Covid-19 wataendelea kuwepo kama wabunge kwa amri ya mahakama ama Chama kitawasamehe.
kwa vyovyote vile najua wataendelea kubakia Bungeni.
 
Back
Top Bottom