Mdee na Wenzake leo kumwaga mboga kwenye Baraza Kuu

Mdee na Wenzake leo kumwaga mboga kwenye Baraza Kuu

Kwa kufanya matendo ya kuminya haki pamoja na madhambi mengi aliyoitendea CHADEMA na wana CHADEMA na wapinzani wengine, Ndugai anatakiwa kuomba msamaha hadharani na KUTUBU.
Hii itasaidia kuweka sawa na kusahihisha mambo mengi aliyoyavuruga na kuyapindisha kwa makusudi kama vile kuwaweka Bungeni hata waliyojiuzulu wenyewe kutoka vyama vyao. Mungu wa haki yu hai na ana subira.
Ndugai ni kichaa
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.

Issue haisikilizwi upya. Ni Rufaa.
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.

Umemaliza kesi. Kumbe mdee ndio aliyeteua majina.
 
Ngoja tuone leo kama Covid-19 wataendelea kuwepo kama wabunge kwa amri ya mahakama ama Chama kitawasamehe.
kwa vyovyote vile najua wataendelea kubakia Bungeni.

Wale wanahitaji huruma ya chama Bila hivyo hawanoi. Chama ndicho kinaamua wabunge wa viti maalum. Chadema a wanaweza teua wabunge wengine kwenye baraza kuu na kusiwepo shida nyingine.
 
Kosa kubwa alifanya mdee kutengeneza majina na kuyapeleka tume na kubeba hiyo barua... Huoni kama kaingilia kazi isiyo yake

Viti maalumu ni maalumu kwaajili wa vimada wa vigogo yeye kama alishindwa angetulia apambane msimu ujao

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Uongo
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Mdee hana mboga yoyote mkononi, uzuri CDM ni chama cha watu/umma hakifi kwa Mbowe, Mnyika au nani kuondoka.
 
Hapo kitakachoangaliwa ni kama utaratibu ulifuatwa kwa mjibu wa Katiba ya Chama na Sheria za nchi.
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Hamna noma yoyote hapo.
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Utakuwa una JINO MOJA kwa Akili hizo hizo ni HADITHI za kwenye Vibanda vya Kuangalia Mipira na yule Aliyekuwa Mahabusu nani aliagiza atolewe Usiku?
1652212919189.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Tulishasema Uongozi wa CHADEMA upo nyuma ya wabunge-19 wa viti maalum.

Sasa wanatafuta njia za kujisafisha kwa wafuasi wao.

Yaaani wanapeleka majina ya wabunge viti maalum Bungeni na sio kwa Tume Uchaguzi😁

Tangu lini Bunge linapitisha majina ya Viti Maalum? 🤔
 
Tulishasema Uongozi wa CHADEMA upo nyuma ya wabunge-19 wa viti maalum.

Sasa wanatafuta njia za kujisafisha kwa wafuasi wao.

Yaaani wanapeleka majina ya wabunge viti maalum Bungeni na sio kwa Tume Uchaguzi😁

Tangu lini Bunge linapitisha majina ya Viti Maalum? 🤔
na tangu lini wasiokuwa wabunge COVID19 wakalazimishwa wawe wabunge bila kuwa wanachama wa chama cha siasa
 
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.

Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.

Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.

Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.

Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.

Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.

Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Kajipange upya basha wewe. Yaani Mdee huyo huyo akawatoe Wafungwa Magereza na kumuambia spika awaapishie chumba cha uani? Wabunge wanaapishwa Ndani ya Bunge. Nyoko wewe.
 
CHADEMA💥 wako busy kupiga selfie 🤳 Mlimani City watupie kwenye mitandao. 😁

-Kumbe wanapenda majengo mazuri? Sasa mbona miaka 30 wameshindwa hata kujenga Headquarters wanapangisha ubavu vichochoroni?

- Hiki ndiyo chama kinategemea tukipe dhamana kuongoza nchi?

NEVER!
 
Back
Top Bottom