Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndugai ni kichaaKwa kufanya matendo ya kuminya haki pamoja na madhambi mengi aliyoitendea CHADEMA na wana CHADEMA na wapinzani wengine, Ndugai anatakiwa kuomba msamaha hadharani na KUTUBU.
Hii itasaidia kuweka sawa na kusahihisha mambo mengi aliyoyavuruga na kuyapindisha kwa makusudi kama vile kuwaweka Bungeni hata waliyojiuzulu wenyewe kutoka vyama vyao. Mungu wa haki yu hai na ana subira.
Kwani lema kaleta faida gani uliyoiona wewe?Hao wabunge 19, Toka walipoingia bungeni sijaona faida yao yoyote ile kusema ukweli.
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.
Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.
Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.
Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.
Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.
Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.
Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.
Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.
Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.
Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.
Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.
Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.
Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
96% ya story yako ni kweli
Ngoja tuone leo kama Covid-19 wataendelea kuwepo kama wabunge kwa amri ya mahakama ama Chama kitawasamehe.
kwa vyovyote vile najua wataendelea kubakia Bungeni.
Sasa wale wabunge wa viti maalum CCM Zaid ya 100 ulishaona faida yao?Hao wabunge 19, Toka walipoingia bungeni sijaona faida yao yoyote ile kusema ukweli.
Kumbe chadema wepesi Sana, yaani ndugai aliwashinda [emoji817]%?Hapo Ndugai alihusika 100%
UongoLeo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.
Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.
Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.
Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.
Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.
Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.
Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Sahivi ataweza? alikuwa anapewa nguvu na diktetaKumbe chadema wepesi Sana, yaani ndugai aliwashinda [emoji817]%?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mdee hana mboga yoyote mkononi, uzuri CDM ni chama cha watu/umma hakifi kwa Mbowe, Mnyika au nani kuondoka.Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.
Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.
Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.
Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.
Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.
Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.
Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Hamna noma yoyote hapo.Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.
Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.
Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.
Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.
Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.
Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.
Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Utakuwa una JINO MOJA kwa Akili hizo hizo ni HADITHI za kwenye Vibanda vya Kuangalia Mipira na yule Aliyekuwa Mahabusu nani aliagiza atolewe Usiku?Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.
Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.
Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.
Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.
Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.
Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.
Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.
Tulishasema Uongozi wa CHADEMA upo nyuma ya wabunge-19 wa viti maalum.
Sasa wanatafuta njia za kujisafisha kwa wafuasi wao.
Yaaani wanapeleka majina ya wabunge viti maalum Bungeni na sio kwa Tume Uchaguzi😁
Tangu lini Bunge linapitisha majina ya Viti Maalum? 🤔
na tangu lini wasiokuwa wabunge COVID19 wakalazimishwa wawe wabunge bila kuwa wanachama wa chama cha siasaTulishasema Uongozi wa CHADEMA upo nyuma ya wabunge-19 wa viti maalum.
Sasa wanatafuta njia za kujisafisha kwa wafuasi wao.
Yaaani wanapeleka majina ya wabunge viti maalum Bungeni na sio kwa Tume Uchaguzi😁
Tangu lini Bunge linapitisha majina ya Viti Maalum? 🤔
🤣🤣Kwahiyo Mdee ndiyo alienda kuwatoa watu gerezeni na kuwafutia mashitaka yao? rubbish
Kajipange upya basha wewe. Yaani Mdee huyo huyo akawatoe Wafungwa Magereza na kumuambia spika awaapishie chumba cha uani? Wabunge wanaapishwa Ndani ya Bunge. Nyoko wewe.Leo Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kitafanyika ambapo pamoja na mambo engine kitajadili rufaa za Wabunge maarufu kama COVID 19. Ila tu watu wajiandae maana COVID nao wamejiandaa kumwaga mboga.
Iko hivi, wakati wa kuandaa orodha ya Wabunge wa Viti Maalumu, kuliandaliwa orodha rasmi ikiwa na Mapendekezo ya Wanawake wa BAWACHA kila Mkoa kwa kuzingatia uwiano uliokuwa sawa na sifa kamilifu.
Ikakubaliwa kuwa orodha husika ikamilishwe ili kuwasilishwa Tume. Kilichotokea ni kwamba viongozi wa juu wa chama wakabadili orodha husika na kuwakweka akina mama wao.
Ikumbukwe kuwa barua rasmi ya KATIBU MKUU MNYIKA ya kuwasilisha majina Tume ilikuwa imeshasainiwa na kilichokuwa kinasubiliwa ni mawasiliano ya mwisho ya orodha. Usiku ule ambapo viongozi wa juu walipobadili majina, Sekretari wa makao makuu akamjulisha Mdee kuwa wakubwa wana orodha mpya, hapo ndipo MDEE akaona mbwai na iwe mbwai yaani utoe akina mama wapambanaji uje uweke akina joyce mukya na grace kiwelu ambao wala hawakukipigania chama.
Umafia ukafanyika MDEE akatengeneza orodha ya akina mama waliogembea majimboni akachukua na barua rasmi iliyosainiwa na MNYIKA akapeleka Tume.
Leo mboga itamwagwa ikiwa ni pamoja na kubainisha orodha ya akina mama wenye connection na wakubwa wa CHADEMA ambao ndio wakubwa walitaka wawe wabunge.
Kwa hatua hiyo wenye kujielewa leo watafanya maamuzi ya haki bila upendeleo kwa pande zote husika.