Mdee na Wenzake leo kumwaga mboga kwenye Baraza Kuu

Wewe Acha uongo kaa Kwa kutulia hivi mtakua wajinga hivi mpaka lini
 
Weka picha au taja jengo moja tu mulilojenga nyie wa kijani.
 
Unateseka ukiwa wapi we mwanamke?
 
Hatari sn
Nchi hii inahitaji overhaul kubwa sana, kwa hiyo hapo washiriki wakuu walikuwa ni jiwe,msajili wa vyama, spika wa bunge na mkurugenzi wa mashitaka ( DPP). HALAFU SERIKALI HII HII TUTEGEMEE ICHUKUE HATUA KWA WABAZILIFU WA MALI YA UMMA? No wonder kina Kingai,Jumanne na kina Swila wanapeta tu na position zao za awali maana wana Siri nyingi mpaka kura za kwenye mabegi uchaguzi wa 2020.
 
haya hizo mboga umekula ?
 
Mfumo mbovu kupita kiasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…