Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwani lazima wawe wanachama wa CHADEMA?Wanawake mashujaa wa Chadema waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.
Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.
Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya Chadema haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.
Baraza kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.
Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.Wanawake mashujaa wa Chadema waliofukuzwa kihuni, Halima Mdee na wenzake bado wana nafasi ya kuipata haki yao.
Nawashauri waende mahakamani kuipata haki yao.
Kilichotokea kwenye mchakato wa kuwafukuza uanachama ni uhuni kwa kuwa katiba ya Chadema haikufuatwa tangu kikao cha CC ya chama.
Baraza kuu pia alikufuata utaratibu wa kikatiba jinsi ya kuwasikiliza na kufanya maamuzi.
Bado tunawahitaji wanawake hawa wa shoka. Mahakama zetu zitatenda haki.
Kwanini hutaki waje CCM umeng'ang'ania wabaki CHADEMA? kwani walizaliwa na CHADEMA? wapeleke hata ACT au umoja partyNaunga mkono hoja, japo sio kila haki hupatikana mahakamani, haki nyingine ni karma tuu ndio itashughulikia!, tena baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Wapokee hukohuko CCM CHADEMA hawawatakiNaunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Waje huko kwenu umoja party. OverNaunga mkono hoja; maamuzi yamefanyika bila kuzingatia katiba ya chama na hata katiba ya nchi.
Nina hakika watashinda mahakamani kama ambavyo Zitto Kabwe alishinda
Mara nyingi CHADEMA huwa hawazingatii hata vipengele vya katiba yao linapokuja suala la maamuzi kama haya LAKIN UTASIKIA WANATAKA KATIBA MPYA😀
Tulia ndugu; huna unachokijua. Mdee na wenzake bado ni CDM.. KAMA WALIVYOSEMA.. UMEFANYIKA UHUNIWaje huko kwenu umoja party. Over
Watakuwa wanahudumu wakitokea mahakamaniHao wataendelea kuwa wabunge wa Chadema, wakienda mahakamani wanashinda mchana kweupe sababu utaratibu wa kuwafukuza ulikuwa wa kihuni haukufata katiba.
Kwanini unalazimisha wawe CHADEMA? Shame on you CHADEMA hawawatakiTulia ndugu; huna unachokijua. Mdee na wenzake bado ni CDM.. KAMA WALIVYOSEMA.. UMEFANYIKA UHUNI
Wao wanataka tu ubunge pekeeEh hkn shuguli nyingine wakatayo weza fanya kwani
Ova
Mkuu mbona unakuwa kama JUDGE?Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Wakitoka hapo wanafukuzwa tena , katiba ya chadema hairuhusu ilo , either way hakuna kinacho wasaidiaHao wataendelea kuwa wabunge wa Chadema, wakienda mahakamani wanashinda mchana kweupe sababu utaratibu wa kuwafukuza ulikuwa wa kihuni haukufata katiba.
Silazimishi wawe CHADEMA ila wao wemyewe ndiyo wanaoamini kuwa bado ni CHADEMA. Kwanini uwazuie? Watabanana hapohapo mpk kieleweke😀Kwanini unalazimisha wawe CHADEMA? Shame on you CHADEMA hawawataki