Stand alone
Member
- Feb 27, 2017
- 64
- 153
Naona amewezeshwa.Kwa ufupi
Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.
Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.
Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.
Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.
Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.
Ha ha ha!!!! Kabisa mkuu. Kufufua sisi hakutuhusu. Tunataka sera ya mheshimiwa raisi itekelezwe. Vyeti tu.Swala la kufufua atajuana na waumini wake wanaojazana hapo kanisani. Swala la madawa limeshapata aliebobea na ukitaka kujua ana weledi hatujamuona akiuza sura, yuko ofisini anachapa kazi. Sasa suala la cheti limekuwa kindumbwendumbwe kazi ambayo haitachukua hata nusu saa imeanza kusababisha mpaka watu kuanza kupiga hela kama huyo kibaka mwingine anaetumwa kumsafisha mwizi wa taaluma.
Kwahiyo huyu nae latokea KOROMIJEKwa ufupi
Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.
Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.
Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.
Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.
Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.
Hivyo watu hawana Imani na commission ya Sianga? Hao si wamewekwa hapo na Rais baada ya kufanya vetting. Na hiyo tume inafanya kazi, maana kamishna mwenyewe alimpokea Rais alipotoka kusini na bila Shaka anaendelea kum brief mh Rais. Hivi vya vyeti ni vita ya Rais ya kuhakiki vyeti au mnataka Rais ashindwe? Atawawajibishaje wengine akimwachia huyu? Yeye atulie tu. Amwache kaka yake asaidie polisi kufichua waovu.Kwa ufupi
Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.
Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.
Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.
Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.
Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.
Uwiiii nafwa kwa mbavu!!!!! Ha ha ha!!! Tena nimetoka kwenye stress hebu nijistressless!!!!!!Mtu wa Mungu akiongozwa na Roho wa Hekima na Maarifa; Roho wa Utambuzi na Maono; Roho wa Ishara na Maajabu; Roho wa Nguvu na Uweza anaenda kutoa neno soon. Ole ni wao mamlaka za kuzimu!
Vyeti vinapelekwa baraza sio hadharaniHuyu nae katoka wapi,hatusikii la nn wala la nani
Tunataka vyeti tuuuu
kumbe! Basi anatumiwa vibaya na anajua bado tuko enzi ya redio za sauti ya mkulima!
Hahahahaha
Huyu Jamaa anaitwa Joshua Chiwanga nimesoma naye kwa nimjuavyo mimi wala hana undugu na Gwajima...Labda undugu wa kupewa ili ifanyike Press Conference ya kumtetea Gwajima.....
Hahahaha Joshua naona umekuwa mpunga ndugu yangu....Tukumbukane aisee!
Ha ha ha!!!!! Kweli mkuu tusingeyajua ya daudi bashite na vyeti vya kufoji kama sio gwajima kumfufua.Wanamsema vibaya tuu Gwajima, ati kashindwa kufufua hata panya! mbona kafanikiwa kumfufua Daudi Albert Bashite?
Hata wakati wa ishu ya Dr. Slaa aliibuka kumpinga kaka yake.Huyu naye ana matatizo; yaani Gwajima atuhumiwe hadharani kuwa drug-dealer halafu anyamaze tu? How? Very very wrong approach ya kujisafisha na tuhuma za wizi wa vyeti ... Tuhuma za kugushi vyeti zinasafishwa kwa kuweka vyeti hadharani na sio kwa kum-attack Gwajima personally.
wakae nyumbani wamalize ugomvi wao wa kifamilia au na yeye afungue kanisa lake afufue hadi kware.