Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Hapoo chacha.

"....upendo wa wengi utapoa.......ndugu watasalitiana....." Yesu

Hiyo yote ni kujipendekeza tu kwa magufuri!
 
Kwa ufupi

Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.

Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.

Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.

Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.

Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.


Naona amewezeshwa.
 
Swala la kufufua atajuana na waumini wake wanaojazana hapo kanisani. Swala la madawa limeshapata aliebobea na ukitaka kujua ana weledi hatujamuona akiuza sura, yuko ofisini anachapa kazi. Sasa suala la cheti limekuwa kindumbwendumbwe kazi ambayo haitachukua hata nusu saa imeanza kusababisha mpaka watu kuanza kupiga hela kama huyo kibaka mwingine anaetumwa kumsafisha mwizi wa taaluma.
Ha ha ha!!!! Kabisa mkuu. Kufufua sisi hakutuhusu. Tunataka sera ya mheshimiwa raisi itekelezwe. Vyeti tu.
 
Kwa ufupi

Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.

Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.

Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.

Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.

Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.


Kwahiyo huyu nae latokea KOROMIJE
INAbidi apimwe uwezo wake wakufikiriiii kidogooo inawezekana naye kagushi vyeti.....??
 
Kwa ufupi

Mdogo wake na mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la ufufuo na uzima, amesema mchungaji huyo anatakiwa aache kutumika na kuhoji kuna nani nyuma yake. Amedai mchungaji hawezi kujiingiza kwenye malumbano na mipasho ya kidunia.

Ameendelea kusema vyeti vya Makonda viachiwe mamlaka husika kuchunguza kwani kumuandama sana inaweza kusababisha watu wengine siku zijazo kuogopa kujihusisha kupambana na madawa ya kulevya.

Amesema serikali imemlea sana Gwajima na waziri wa mambo ya ndani anatakiwa amuangalie na ana tuhuma nyingi ikiwemo kadai angemfufua baba wa watoto yatima ilhali yeye anajua hajawahi kufufua hata panya.

Amedai tabia ya kubeza shughuli za maendeleo zinazofanywa na serikali sio tabia njema na haiisadii nchi. Amesema anajua vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na hugharimu maisha, atoa wito kwa watanzania wote kuunga mkoni juhudi za kutokomeza madawa ya kulevya hasa Dar es Salaam.

Amesema anafahamu yeyote atakayejitokeza kuunga mkono juhudi za kupambana na madawa ya kulevya ataandamwa tu na hivyo kwa namna ya pekee anamshukuru mkuu wa mkoa wa Dar Paulo Makonda na atakumbukwa na vizazi vyote kwa kujitoa Muhanga kusimamia vita ya madawa ya kulevya Dar es Salaam na kila mmoja amefahamu athari za madawa ya kulevya hadi kwa watoto wadogo ndio maana anaandamwa kila kona na kuhoji walikuwa wapi kuyasema yote kabla ya vita ya madawa ya kulevya.


Hivyo watu hawana Imani na commission ya Sianga? Hao si wamewekwa hapo na Rais baada ya kufanya vetting. Na hiyo tume inafanya kazi, maana kamishna mwenyewe alimpokea Rais alipotoka kusini na bila Shaka anaendelea kum brief mh Rais. Hivi vya vyeti ni vita ya Rais ya kuhakiki vyeti au mnataka Rais ashindwe? Atawawajibishaje wengine akimwachia huyu? Yeye atulie tu. Amwache kaka yake asaidie polisi kufichua waovu.
 
Mtu wa Mungu akiongozwa na Roho wa Hekima na Maarifa; Roho wa Utambuzi na Maono; Roho wa Ishara na Maajabu; Roho wa Nguvu na Uweza anaenda kutoa neno soon. Ole ni wao mamlaka za kuzimu!
Uwiiii nafwa kwa mbavu!!!!! Ha ha ha!!! Tena nimetoka kwenye stress hebu nijistressless!!!!!!
 
Makonda alimaleze tu hili jambo kwa kuweka vyeti mezani. ......kama hana cha shule aweke ata cha clinic! !!!![emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Kama mwana Kolomije aseme jirani yake huyo huko kijijini anamfahamu kama Paulo Makonda au Daudi Bashite.
Mambo ya madawa sasa hivi yako kwenye mikono husika mweshimiwa Sianga kwa hiyo hoja ya uhalali ya vyeti vya Makonda bado ipo palepale na kamwe isihusishwe na madawa.
 
Kwa mfano angetuhumiwa yeye ingekuwaje? Kweli msiba usikie kwa mwingine! Haya yeye anasema tuache siasa na hili halina chama, lakini yeye kaanza kwamba ni kada wa chama ccm! Shatap!
 
Wanamsema vibaya tuu Gwajima, ati kashindwa kufufua hata panya! mbona kafanikiwa kumfufua Daudi Albert Bashite?
 
Hapana jamani naongea ukweli imeandika mtawajua kwa matendi yao yapi hayo kuubr makonda 24hrs mmmh
 

Hahahahaha

Huyu Jamaa anaitwa Joshua Chiwanga nimesoma naye kwa nimjuavyo mimi wala hana undugu na Gwajima...Labda undugu wa kupewa ili ifanyike Press Conference ya kumtetea Gwajima.....

Hahahaha Joshua naona umekuwa mpunga ndugu yangu....Tukumbukane aisee!
kumbe! Basi anatumiwa vibaya na anajua bado tuko enzi ya redio za sauti ya mkulima!
 
Wanamsema vibaya tuu Gwajima, ati kashindwa kufufua hata panya! mbona kafanikiwa kumfufua Daudi Albert Bashite?
Ha ha ha!!!!! Kweli mkuu tusingeyajua ya daudi bashite na vyeti vya kufoji kama sio gwajima kumfufua.
 
Huyu naye ana matatizo; yaani Gwajima atuhumiwe hadharani kuwa drug-dealer halafu anyamaze tu? How? Very very wrong approach ya kujisafisha na tuhuma za wizi wa vyeti ... Tuhuma za kugushi vyeti zinasafishwa kwa kuweka vyeti hadharani na sio kwa kum-attack Gwajima personally.
Hata wakati wa ishu ya Dr. Slaa aliibuka kumpinga kaka yake.
Watakuwa na magomvi ya kifamilia.
 
Back
Top Bottom