Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Mdogo wa Gwajima amtetea Makonda, asema Josephat apuuzwe vita ya madawa ya kulevya

Mwaka huuu tutaona na kusikia mengi. Nadhani kwangu mimi hoja zote tunahitaji majibu yake.kuhusu madawa ya kulevya kazi nzuri inaendelea kufanywa na mr.sianga. hii nayo ya vyeti nayo twahitaji uchunguzi au mtuhumiwa ajitetee ili tujue ukweli ni upi.
 
Huyu naye ana matatizo; yaani Gwajima atuhumiwe hadharani kuwa drug-dealer halafu anyamaze tu? How? Very very wrong approach ya kujisafisha na tuhuma za wizi wa vyeti ... Tuhuma za kugushi vyeti zinasafishwa kwa kuweka vyeti hadharani na sio kwa kum-attack Gwajima personally.
Hayo Mambo ya wizi WA vyeti una ushahidi au unajiongelea tu? Kwanini huyo Gwajima ameshindwa kuleta ushahidi hadi Sasa?
 
haa haaa naona makonda ameaanza kutafuta watetezi. weka vyeti acha maneno....
 
Vyeti!!!
Kwani na yeye huyu ana vyeti?
Halafu huyu ni kama hawaivi na Ndugu yake anaonekana ana gubu na maendeleo ya Ndugu yk
 
Huyu kashapewa chake kuneutralize the situation.
Nina mashaka na huo undugu anaousemea...
MTU mwenyewe hata ukimwangalia tu unashindwa kumwelewa anatokea wapi...
Kashakamatishwa kash mkononi huyo....
Watu wa aina hii ni wale wanaopelekwapelekwa tu na kila upepo uvumao.
 
Msimamo wake na taaluma aliyojitambulisha ni mbingu na ardhi kwa lugha nyepesi havishabihiani mathalani .....

kwa nn hoja ya vyeti imekuja wakati huu......jibu ndio wakati tulipogundua Huyo kafodge vyeti.Sheria haijaweka Siku ambayo mtu anatakiwa atambuliwe kuwa ni mtuhumiwa.

Eti kwa nn msiziachie mamlaka husika jibu.....mamlaka husika zimetuomba wananchi kuwabaini watu type za DAUDI BASHITE hivo sisi tunatimiza wajibu wetu.

Hitimisho umetia aibu bora ungekaa kimya tu.
 
Let time decide, ni mapema sana kusema gwajima is completely clean, kama anatumia cover ya uchungaji inahitajika juhudi ya ziada na muda ili kumpata na hatia, naimani hata hiyo mamlaka iliyoundwa itakuwa inaendelea kumtazama kwa karibu. Halafu namshauri rais huyu jamaa wamchunguze kwa karibu kuhusu vyanzo vyake vya mapato asituone watanzania mambumbumbu, na kwa mtu mwenye akili timamu ukimtazama mara moja tu utagundua huyu anatumia dini kama cover, am telling you guys huyu gwajima siku zake si nyingi atakuwa exposed, mark my words kuna siku mtaikumbuka hii comment, za mwizi always ni arobaini , watu tuache kuwa misukule tufungue macho sio "tunapopelekwa tu tunakwenda kama ming'ombe"
umemfaham gwajima juzi tu then unalopoka uliza wengine tunamfaham tangia 1996 anaanza kanisa ubungo
 
Hutu aliyeandika kama kweli no mdogo wake na Gwajima , basis ana either uhasama na ndugu take ama ana wivu na Gwajima kuwa na mafanikio ya kirho na ya kimaendeleo.
 
MODERATORS ILE VIDEO YA AWALI ILIYOCHUKULIWA KWA SIMU MMEIPELEKA WAPI? HII MLIOIWEKA HAINA KILE KIPENGELE MUHIMU KUWA " HAJAWAHI KUFUFUA HATA PANYA"
 
Huwa nasema kila siku upinzani hawajitambui!

Yani mwanafamilia kaja kuthibisha kwamba Gwajima ni tapeli, wewe msukule unaemuona kupitia tv unakuja hapa na porojo zako!
Leta cheti habari ya msukule utajuana wewe na Gwajima huko huko.
 
Methusela nina mfahamu ndani nje. Ni kada, yes, lakini akichunguzwa vizuri ni mafia wa biashara hiyo ya Bashite. Zile nyumba nne za kifahari pale salasala, unaweza kubaki kinywa wazi.
I rest my case.
 
Mbona alipotuhumiwa na madawa huyu bwana hatujamsikia baada ya kutaka a one she vyeti imekuwa shida huyu bwana VP nafasi za uongozi kwani bado zipo?
 
hahahaha natamani gwajima ashike kipaza sauti amjibu HUYO MDOGO WAKE
Ndugu wanajuana - Wakisema waanze kusemana hadharani kama Rose Kamili na Dk Slaa, Gwajima atabaki tu na waumini alionao ( Maana kashawaradicalise ) ila kupata waumini wapya huenda ikawa ngumu
 
Vyeti!!!
Kwani na yeye huyu ana vyeti?
Halafu huyu ni kama hawaivi na Ndugu yake anaonekana ana gubu na maendeleo ya Ndugu yk
Mimi kinachonishangaza ni pale Mchungaji anapokuwa na UTAJIRI wa kutisha wakati waumini wake hawawezi kulipia hata 3,000 Ya PANGO LA NYUMBA - MANZESE KWA MTOGOLE
 
Back
Top Bottom