Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Unakwama sana bwana mdogo.

Ila hongera.Umemaliza chuo mwaka huu na umejenga na umefungua na biashara..hongera kama sio CHAI πŸ˜‚
 
Mi ndo maana sitaki ndugu kbs nyumbani si wangu Wala wa mwenza, ndugu aje wa kusalimia asepe zake! Au aje na shida zake akamilishe asepe! Mtu kama huyo mngekuwa mmefanya kama mmemuajiri mnamlipa atafute chumba chake aanze maisha yake! Jitu zima hivo mnalilea la nn? Watoto wa 98 anakuchanganyaje akili asee
 
[emoji23] kweli hapo ni kuwa kichaa tuu, hakuna namna
 
Msiwe mnaanzisha mada kama hizi za kiboya za kutuharibia siku, maana najikuta napata hamaki utadhani imetendeka kwangu, wewe hapo kwako ni boya kabisa, mwanaume haupaswi kulalamika vitu vya hovyo, chukua maamuzi na kuwa mkali, guruma nani ya hiyo nyumba, hakikisha umechora mpaka ambao hairuhusiwi kupitwa na yeyote.
 
Hii kenge vipi? Mbona umepaniki? Acheni kuishi kwa shemeji zenu ona sasa umeguswa
 
Hii kenge vipi? Mbona umepaniki? Acheni kuishi kwa shemeji zenu ona sasa umeguswa
Keep your bad blood to yourself. Tatizo lenu ni UTAPIA-MLO ambao ni terminal illness hakuna namna ya kuwasaidia... Dada hapo ana mtunza ndugu yako. Tutakuja tu. kaka yako ndo ameolewa hapo. Own up to your failures. swallow some pills. Spineless dog
 
Acha uboya na umariooo...hiyo jeuri ni kwamba mwanamke ndiye mwenye nyumba siyo wewe..tafuta hela
 
Mpaka jtatu anasubiria Nini? safirisha mdogo mtu hata sa hv asepe, afu kaa na mkeo mkanye! Nikuambie tu Hakuna kitu kigumu kama kuishi na ndugu siyo upande wa mke Wala wa mume!
 
Bora umesema wewe tukisema sisi yanajibu mashoga wenzake kama hili
[emoji116]
Shida moja ya kabila lenu hamjawahai kutumia akili hata kidogo ndio maana hata wewe hapa unatumia nguvu sana kumdhoofisha mtoa maada Ila sisi tulioishi na nyinyi tunawajua.

Ujuaji mwingi lakn kichwani zero. Mulisya muraa
 
Shida moja ya kabila lenu hamjawahai kutumia akili hata kidogo ndio maana hata wewe hapa unatumia nguvu sana kumdhoofisha mtoa maada Ila sisi tulioishi na nyinyi tunawajua.

Ujuaji mwingi lakn kichwani zero. Mulisya muraa

Nenda pale ikulu ukawaambie ivi wazee wa vetting... IGP sequentials, CAG, TRA Kidata, Warioba, CDF, chief justice, etc etc.

the next time ukiwa una ji-pity angalia kabila lenu jinsi ambavyo ni outcasted... again compare na wakurya jinsi walivyo trusted. this country literally rest in our shoulders kuryas... Therefore safety is guaranteed.

Nyie apo mnaojifanya smart kumbe ni wajaa mavi, utapiamlo, selfish to the core... absolutely treacherous ndo maana hata mkiwa huko private sector mnakua monitored e.g kimeA
 
Unahitaji kujitafakari
1. Haijalishi mke anakuzidi kipato, tumia sauti yako ya kukoroma uliyopewa na Mungu.
2.Na kama umenielewa, mtimue huyo binti kesho na siyo jumatatu. Angalau wanaume tutaanzaa kukuelewa.
3.Mwambie mkeo asitishe hiyo safari ya baba mkwe. Atajua mwenyewe atamwambiaje.
4.Akikushinda nishtue, nitakuja kwa nauli yangu mwenyewe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…