Bull Striker
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 456
- 1,003
- Thread starter
-
- #61
Kabisa broo.Hicho alichokizungumza huyo binti ndio mpango mkakati walioupanga na dada yake.......hapo amekufikishia tu ujumbe ingawa amewahi kabla mipango haijakamilka........
Kuanzia sasa aanza kuishi kwa machale maana lolote linaweza kutokea Kwa wakati wowote......
Nahisi ndilo linalo fuatia kakaaUsikae kifala asee...Umeshindwa kumkata mitama huyo shemeji?? Af kukwambia kama vp mgawane mali kila mtu asepe huo ni ujumbe amekufikishia...Akili mtu wangu
Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
Ndo unachoogopa icho?Kaka shida watoto wa watu.
Utalipishwa gharama za matibabu bure.
Utaangaika na haki ni ya kwako.
Kaka nlishikwa na bumbuwazi amini.WE ndio mwanaume kuwa na maamuzi kwa yite hayo hujantia mkeo hata kofi au umelogwa
Wewe ni either shoga au taahiraWakuu naomba ushauri
Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu nilio tafuta pamoja na mkewangu.
Baada ya Graduate kumaliza chuo mwaka huu mkewangu aliniomba aje mdogo wake kuishi nasi pamoja.
Sasa baada ya kipindi kupita mkewangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.
Kisa:Jana nlienda Dukan kwetu na mkewangu (Duka la vipodozi)
Lengo kumfuata shem na kupiga hesabu na kufunga duka.Dakika chache mkewangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote.
Ikumbukwe yote haya yanafanyika Dukani tukiwa wote watatu i mean mimi mkewangu na shemeji.
Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mkewangu ananieleza "kuwa baba atakuja kesho na nimesha mtumia na nauli"
Mi nika mjibu kwa njia ya meseji ya simu, "una nambia ama una nipa taarifa"
Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea kikuria yeye na mdogo wake (Mi mchaga) mi hapo sielewi kitu ila Nyuso zao nikama wamefura kwa hasira.
Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pik pik mdogo mtu ( shemeji) alibaki Dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani
Nilipo fika nyumbani sasa
Nikamuuliza mkewangu kwanini umekasirika kwa maseji kama ile angali sija andika tusi..?
Ailinijibu we niache kwanza usha mzika baba yako hivyo huna chakupoteza.
Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako maana yanayo ongeleka ni mengi sana hasa Juu ya mimi na wewe.
Maana unayo mueleza nduguyo huwaleza hata watu wa karibu. Dah baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake nakumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.Alifunga duka na
akarudi nyumbani speed ya Jet na kunikuta seblen nimekaa naperuzi Jf.
Kwanza alipo fika tuu nyumbani aligonga mlango kwanguvu sana as if kuna mtu ana tuvamia.
Alipo timba seblen akaanza kwa kusema
Ili kuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako...???
"Alafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana"
"Unazani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani"
"Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana"
"Naishi na wewe kwa kukuvumilia sana"
Nlisha kudharau sana.
He he..he
He...!!! Nlibaki na shangaa sanaa kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu niwa mwaka 98.
Mwisho akasema bhanaa eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)
Hata dada yake hakuwahu kutamka maneno kama haya asee.
Wakuu mi nimeamua asepe kwao ifikapo J3 ya trh 17 Oct.
Japo wife anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.
Pia msaada tafadhali maana namawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya biashara.
Alafu pia ndugu lakini sina namna.
Nawasilisha.
Peleka wote nyumbani kwao kwanza wakashike adabu na talaka hamna kutoaWakuu naomba ushauri
Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu nilio tafuta pamoja na mkewangu.
Baada ya Graduate kumaliza chuo mwaka huu mkewangu aliniomba aje mdogo wake kuishi nasi pamoja.
Sasa baada ya kipindi kupita mkewangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.
Kisa:Jana nlienda Dukan kwetu na mkewangu (Duka la vipodozi)
Lengo kumfuata shem na kupiga hesabu na kufunga duka.Dakika chache mkewangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote.
Ikumbukwe yote haya yanafanyika Dukani tukiwa wote watatu i mean mimi mkewangu na shemeji.
Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mkewangu ananieleza "kuwa baba atakuja kesho na nimesha mtumia na nauli"
Mi nika mjibu kwa njia ya meseji ya simu, "una nambia ama una nipa taarifa"
Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea kikuria yeye na mdogo wake (Mi mchaga) mi hapo sielewi kitu ila Nyuso zao nikama wamefura kwa hasira.
Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pik pik mdogo mtu ( shemeji) alibaki Dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani
Nilipo fika nyumbani sasa
Nikamuuliza mkewangu kwanini umekasirika kwa maseji kama ile angali sija andika tusi..?
Ailinijibu we niache kwanza usha mzika baba yako hivyo huna chakupoteza.
Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako maana yanayo ongeleka ni mengi sana hasa Juu ya mimi na wewe.
Maana unayo mueleza nduguyo huwaleza hata watu wa karibu. Dah baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake nakumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.Alifunga duka na
akarudi nyumbani speed ya Jet na kunikuta seblen nimekaa naperuzi Jf.
Kwanza alipo fika tuu nyumbani aligonga mlango kwanguvu sana as if kuna mtu ana tuvamia.
Alipo timba seblen akaanza kwa kusema
Ili kuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako...???
"Alafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana"
"Unazani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani"
"Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana"
"Naishi na wewe kwa kukuvumilia sana"
Nlisha kudharau sana.
He he..he
He...!!! Nlibaki na shangaa sanaa kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu niwa mwaka 98.
Mwisho akasema bhanaa eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)
Hata dada yake hakuwahu kutamka maneno kama haya asee.
Wakuu mi nimeamua asepe kwao ifikapo J3 ya trh 17 Oct.
Japo wife anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.
Pia msaada tafadhali maana namawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya biashara.
Alafu pia ndugu lakini sina namna.
Nawasilisha.
Hakika kabisaa usemacho.Mkuu umekosea sana kuoa asie wa kabila lako, siku zote familia yao hukuona wewe wa ajabu na mtoto wao hastahili kuishi na wewe
Wazee wengine bana sijui wamekulia familia za vipi. Yaani hawana uti wa mgongo wa kiume kabisa.Waondoe wote
Hata huyo Baba yake akome kuja hovyo alipoolewa binti yake
Asante kaka kwa ushauri...Good!
Hivyo tatizo Sio shemeji yako.. Bali mkeo maana ndio anauza ramani.
Pole sana.. Yahitajika hekima ya hali ya juu sana kuvuka hapo.
Yaap...Kaka hao ni wajita Amna mkurya wa hivyo aisee. Hizo ni tabia za kijita ndo baba mkwe anaweza kwenda kwa binti yake akakaa ata mwaka lakini sio mkurya
Sema nini na wajita ninao wajua Mimi wanatabia ya kuroga wanaume sio mkurya
Sas fanya hivi mkalishe mkeo umuulize nilichokisikia kutoka kwa ndugu yako ni sahihi na wew unaitaji iwe Ivo tena ongea nae kwa upole tu
Akikujibu ndio basi usipoteze mda achana nae, akikujibu hapana mpige marufuku kukanyaga dukani tena ikibidi ilo duka uza si umesema wew ni mwajiliwa uqezi kukuosa pesa ya matumizi nyumbn. Yeyeabaki kuwa mama wa nyumbani tu aleee watoto
Upande mwingine ni kweli...Hapa shida ipo kwako mkuu,unaonekana unachukulia poa mambo,sasa mpaka wamekupanda kichwani,You need to act like a Man,usije ruhusu disrespect ndani ya nyumba yako hata siku 1.
Chukua hatua huyo mwenye degree yake akalime kwao,na mkeo alichokifanya uwajibike vile vile.
Oya Mangi wasikuletee upimbi kwenye maswala ya shilingi yani kama huna mtoto rudisha kwao kima izo zika update mapenziYaap...
Hapa naona hili Duka na lenyewe linachangia sanaa kumpa kiburi.