Fafanua huo umuhimu wakeDuh poleni wafiwa
Sasa huyu Eddie ndiyo alikuwa kiungo muhimu
Kwenye familia
Ova
Miradi ya kifamilia yeye ndiyo alikuwa injinia mkubwa na mambo mengine,in short walikuwa wanamsikia sanaFafanua huo umuhimu wake
Wana project moja kubwa sana cha kilimo cha strawberry iringa ukiona investment iliyofsnyika,vifaa shamban,wanavyolimaOkay mrangi hapa sasa tumeelewa
Okay hao watu wana damu ya business imagine Hanspope alipotoka gerezani alipewa lori moja aanzie maisha lakini amekufa kaacha malori zaidi ya 100Wana project moja kubwa sana cha kilimo cha strawberry iringa ukiona investment iliyofsnyika,vifaa shamban,wanavyolima
Wanavyoshirikiana ni kwa mafanukio makubwa sana,jamaa hawa ni hardworking sana
Si unajua warangirangi walivyokuwa wabishi
Ova
Yah biashara ya lorry alikuwaga inspired na kaka yake mmja yuko Australia aliendaga kitamboOkay hao watu wana damu ya business imagine Hanspope alipotoka gerezani alipewa lori moja aanzie maisha lakini amekufa kaacha malori zaidi ya 100
Wayahud hao...kwa mgongo wa kijifanya wajeremaniWana project moja kubwa sana cha kilimo cha strawberry iringa ukiona investment iliyofsnyika,vifaa shamban,wanavyolima
Wanavyoshirikiana ni kwa mafanukio makubwa sana,jamaa hawa ni hardworking sana
Si unajua warangirangi walivyokuwa wabishi
Ova
Alienda kuzika !!??Mdogowa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, marehemu Zacharia Hans Poppe aitwaye Eddy Hans Poppe,
View attachment 1946052
(pichani kushoto) amefariki dunia juzi Jumamosi, septemba 18, 2021 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam.
Msiba huo umetokea ikiwa ni siku 8 tu tangu kaka yake, Zacharia afariki dunia hospitalini hapo wakati akipatiwa matibabu.