TANZIA Mdogo wa Zacharia Hans Pope afariki dunia, ikiwa ni ndani ya wiki ya maombolezo ya kakake

TANZIA Mdogo wa Zacharia Hans Pope afariki dunia, ikiwa ni ndani ya wiki ya maombolezo ya kakake

Mdogowa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, marehemu Zacharia Hans Poppe aitwaye Eddy Hans Poppe,

View attachment 1946052

(pichani kushoto) amefariki dunia juzi Jumamosi, septemba 18, 2021 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam.

Msiba huo umetokea ikiwa ni siku 8 tu tangu kaka yake, Zacharia afariki dunia hospitalini hapo wakati akipatiwa matibabu.

Hatari kubwa.

Apumzike kwa amani Eddy Hans Poppe.

Samia, Mpango, na Majaliwa wako busy na uchumi wao huku wakilenga kutukamua kwa tozo na kodi zaidi.

Hivi hata wana mawazo tu, Corona inatuathiri vipi wananchi?

Hivi wanaelewa ni chuki kiasi gani wanajipalia?
 
Huenda ni kwel mkuu, black tuna ufukara sn sababu ya roho mbaya

Ni kweli, black tunasumbuliwa na mambo mengi, uvivu uliopindukia, ubinafsi usioelezeka, tunaridhika na vitu vidogo vidogo tena mapema sana tunaridhika, kupenda kujionesha na kujikweza.

Kwa kifupi mablack ni kama tumelaaniwa
 
SO sad........tusiache kutafuta mali...but zote tunaziacha...duh
 
Hatari kubwa.

Apumzike kwa amani Eddy Hans Poppe.

Samia, Mpango, na Majaliwa wako busy na uchumi wao huku wakilenga kutuksmua kwa tozo na kodi zaidi.

Hivi hata wa mawazo tu, Corona inatuathiri vipi wananchi?

Hivi wanaelewa ni chuki kiasi gani wanajipalia?
Mkuu Unataka waje wakufunge kamba wakupeleke kule chanjo zinapatikana,au unataka wakulazimishe kunawa mikono na kutumia barakoa unapokuwa katika mikusanyiko ya watu?,wewe Ni wa umri gani kwanza?

Pambana na Hali yako,acha kulaumu watu,utakufa siku moja muda wako ukifika
Zaburi 39:4-6 BHN

“Ee Mwenyezi-Mungu, unijulishe mwisho wangu, siku zangu za kuishi zimenibakia ngapi, nijue yapitavyo kasi maisha yangu!” Kumbe umenipimia maisha mafupi sana! Maisha yangu si kitu mbele yako. Hakika, kila binadamu ni kama pumzi tu! Kweli, kila mtu anapita kama kivuli; jitihada zake zote ni bure tu; anakusanya mali, asijue atakayeipata!
 
Mkuu Unataka waje wakufunge kamba wakupeleke kule chanjo zinapatikana,au unataka wakulazimishe kunawa mikono na kutumia barakoa unapokuwa katika mikusanyiko ya watu?,wewe Ni wa umri gani kwanza?

Pambana na Hali yako,acha kulaumu watu,utakufa siku moja muda wako ukifika
Zaburi 39:4-6 BHN

“Ee Mwenyezi-Mungu, unijulishe mwisho wangu, siku zangu za kuishi zimenibakia ngapi, nijue yapitavyo kasi maisha yangu!” Kumbe umenipimia maisha mafupi sana! Maisha yangu si kitu mbele yako. Hakika, kila binadamu ni kama pumzi tu! Kweli, kila mtu anapita kama kivuli; jitihada zake zote ni bure tu; anakusanya mali, asijue atakayeipata!

Ninanataka watambue tuna gonjwa la Corona ambalo ni janga la taifa.

Watambue kuna shughuli kutokana na janga hili zimesimama kabisa.

Kwa hiyo si sahihi wala halali wao kuendelea kuwakamua wahanga wa ugonjwa huu kwa kodi na tozo lukuki zilizo boreshwa sana. Kwa maana nyingine ni uovu wao mkubwa uliopitiliza kutokuwa na huruma na wahanga wa ugonjwa huu kiasi cha kuwatelekezea gonjwa na gharama zake za matibabu.

Vipi wewe ni mnufaika katika hawa mnaotukamua hadi damu marehemu sisi tuliosongwa mno na gonjwa hili?
 
Ninanataka watambue tuna gonjwa la Corona ambalo ni janga la taifa.

Watambue kuna shughuli kutokana na janga hili zimesimama kabisa.

Kwa hiyo si sahihi wala halali wao kuendelea kuwakamua wahanga wa ugonjwa huu kwa kodi na tozo lukuki zilizo boreshwa sana. Kwa maana nyingine ni uovu wao mkubwa uliopitiliza kutokuwa na huruma na wahanga wa ugonjwa huu kiasi cha kuwatelekezea gonjwa na gharama zake za matibabu.

Vipi wewe ni mnufaika katika hawa mnaotukamua hadi damu marehemu sisi tuliosongwa mno na gonjwa hili?
Hakina nchi duniani imewahi kusonga bila kuwa na mfumo imara wa Kodi!! Acha tozo ziendelee ili tuboreshe maisha jamiii,
 
What does uyahudi have to do with mafanikio yake?

Wayahudi wote wametoboa?

Kuna ubaya gani kama wangekua wayahudi kweli na kukiri ni wayahudi?

Bado miafrika mnashobokea hizi story. Smh
Mkuu hizo ni execuse za walioshindwa. ,😂😂
 
Back
Top Bottom