mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Inawezekana maana ukiwachunguza sana historia zao watakuambia wazee wao walitoka wapiWayahud hao...kwa mgongo wa kijifanya wajeremani
Mfano wkt nko mdg nlikaa chimala mbeya,pale palikuwa maarufu kama kwa mjerumani"mzee charles"alikuwa kama mzungu na qlikuwa diwani,alikuwa mkulima mzuri sana
Kuna siku tuko shambani tulikuwa tumekaa
Wao wanapiga story akawa anasema asili yao ni wayahudi
Ova