Mdogo wake Elton John, Jeoff Dwight

Mdogo wake Elton John, Jeoff Dwight

Wala hata huo wivu cna. Tena naweza kumtafutia mie mwenyewee mwanamke wa kuwa nae.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani wewe hata huwazi,na kujibu unajibu kabisa.

Unajua kiukweli kwa jamii zetu hayo mambo wengi ni mageni,tunaona ya ajabu sana,ndo mana wengi humu tunakushangaa.

Ila kuna wengi sana wanafanya hayo mambo kwa kujificha.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Wakenya wameonyesha njia nikuwakusanya tu kwenye matranka ngoja shule zifungwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uwezo mnao sasa?? Mkisha choka kupovukwa humu mitandaoni, mnywe maji mengi na mpumzike.

[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]ipoo sanaaa.
 
We unajiona mtu mzima hapo ulipo [emoji90][emoji90]
Sasa wee unaona mie ni rika lakoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wallah maajabu hayataisha kamwee. Khaaah
 
Ushoga ni ugonjwa wa matatizo ya mpangilio wa hormone au kuonja kwa dhiki au mambo ya kuelimisha kuwa kawaida.anal sex and cocaïne are shortening life expectance
Nimesema Elimu ya ujinsia iletwe Africa, sio kueneza ushoga, kuwa muelewa tafadhariii.
 
Eti ana 8 years kwenye ndoa ya [emoji90] [emoji304] wote ni maduwanzi hata niliosoma nao o level wote zwazwa akili za ki aggrey na bobrisky kujilegeza legeza hata mpira au basketball hawajui muda wa sports kazi kushikanashikana tu nenda USA shoga anacheza [emoji464] huku ni malofaa tu ndo maana bei za lotion na sabuni na pampas zimepanda zinaishia kwenye hayo mashimo [emoji2961][emoji2961][emoji2961]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dogo povu lote la nn?

Mbna km wee ndo unatesekaa kuliko hao mazwazwa unao wasemaa??, kwani ulitaka wacheze kukufurahishaa wee? Wengine hapa Bongo wanasakata had kandandaa.

Kwani zikipanda bei wanunuzi c wapoo? Wee km hutumii hivyo vifaa unaguswa vipi? Au unajistukiaaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nenda kenya kama ruto hatakushushia maspana huko mkunduni hujasikia lile shoga la mitindo limekufa rift valley we nenda tu hapo jisogexe tu uone [emoji1787]
Mie ni mtanzania, sasa Kenya inahusu nn?
Ikianza hapa Bongo nistueee, nipoo nimekaa pale.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani wewe hata huwazi,na kujibu unajibu kabisa.

Unajua kiukweli kwa jamii zetu hayo mambo wengi ni mageni,tunaona ya ajabu sana,ndo mana wengi humu tunakushangaa.

Ila kuna wengi sana wanafanya hayo mambo kwa kujificha.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Sasa mie kujificha siwezi na sio shida zangu. Naishi kwa uhuruu eti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bibi nawee nae, sasa huyo dogo kuwa mbangaizaji na kuwa straight ndo kunafanya Elton asiwe Gay kisa ana pesa?

Hivi nashindwa kuelewa mindset ya watu kuhusu Gayism hasa wa Africa, kwan pesa ndo zinafanya hisia zife au zisiwepooo?? Km mtu ana feelings kwa jinsia yake hata awe na ukwasi kiasi gani hisia zitabaki vile vile

Elimu ya Ujinsia iletwee Africa, sio kwa hii akili ikiyopoo huku aiiiiiiih.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hiyo elimu ujipe wewe na ukoo wako na wanao!
Tuache sisi waafrika tuwe naive kwa mambo kama hayo!
Tafadhali kabisa baki nalo [emoji35][emoji35]
 
Hiyo elimu ujipe wewe na ukoo wako na wanao!
Tuache sisi waafrika tuwe naive kwa mambo kama hayo!
Tafadhali kabisa baki nalo [emoji35][emoji35]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu nimewagusaa kunakooo, mnapovukwaaaa sanaaaa khaaaah.
 
Uzi ulikua kuhusu mdogo wa Elton John sio elton na wafuasi wake wakina cocastic kw sababu naona huu uzi hauna tena maana imekua kama sehemu ya utambulisho wa huyu member na wenzake wenye kufanana matendo...

Moderator Active Paw haya ndio maswala jamii tunayapigia kelele kila siku yatokomezwe sasa kwanini huu uzi bado upo wakati hauna maudhui mazuri kwenye jamii tunaomba ufutwe tafadhali!
 
Back
Top Bottom