Kwa nini ephen ?Huyo mdogo wako ndio wewe.
KAyatimbaWakuu sisi ni wamasai.
Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.
Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.
Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??
Tumshauri.
Vibaya mno🤣Ni waBabe
Na wangoniKwa Tanzania kabila lililo bakiza wife material ni wasukuma na wabena tu
Wooooiioyoooooooooooooo,,, wabena oyeeeeee😂😂😂😂 asante kwa kutufikia mkuu,, kamweneKwa Tanzania kabila lililo bakiza wife material ni wasukuma na wabena tu
Yah wapo vizuri sana kwa tathimini yangu lakiniWooooiioyoooooooooooooo,,, wabena oyeeeeee😂😂😂😂 asante kwa kutufikia mkuu,, kamwene
na pia si haba,Sasa wanyaki si ndio ma wife material kabisa boss?? Heshima, adabu, utii ndio nyumbani . Hata ile siku ya pete wanawake ndio huwa tunapiga goti.