didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Oa wewe tabia mtafundishana kweny ndoa kikubwa ana matrakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza na Wakurya na Waha.. tatizo la Waha ni uchafu na uchoyo.. lkn kwenye ndoa ni wavumilivu.Kwa Tanzania kabila lililo bakiza wife material ni wasukuma na wabena tu
Wangoni hawana uvumilivuNa wangoni
Kwenye niniW
Wangoni hawana uvumilivu
inategema huyu binti kakulia wapi au tuseme kakua katika mazingira gani kama wanaendana waache tu ,maana hakuna aliemkamilifuWakuu sisi ni wamasai.
Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.
Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.
Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??
Tumshauri.
Hapo kwenye uchafu noma mkuuOngeza na Wakurya na Waha.. tatizo la Waha ni uchafu na uchoyo.. lkn kwenye ndoa ni wavumilivu.
Nyaki ni chuma ya reli, sasa we masai utaweza wp?Kwanini mkuu.
Vigoma vyao kila siku miguu na njiaKwenye nini
Wanyaki ni watu wa hovyo sana!Sasa wanyaki si ndio ma wife material kabisa boss?? Heshima, adabu, utii ndio nyumbani . Hata ile siku ya pete wanawake ndio huwa tunapiga goti.
Hahaha hujui chuma.ya reli ilivyo stroke, au stroke ishaingia mwiliniChuma cha reli ndio unakuwaje mkuu?
Kabisa kabisa 🥴wakorofi sana.
Nimescreen shot itamfikia dogo.Wanyaki ni watu wa hovyo sana!
Umbeya, unafiki roho mbaya na hupenda kuwatawala wanaume.
Chunguza katika wanawake 10 wa kinyaki 8 utakuta single mothers waume wamewakimbia au kama wana waume basi mume anaendeshwa kama gari bovu.
Wanyaki wanawake wa hovyo sana huku wakijificha kwenye maombi na kunena kwa lugha
Wanyakyusa hawaachani kwa taraka, huwa mwanaume anaamua kuondoka kimya kimya.Mwambie aoe mkuu, achana na stori za kwenye gahawa. Dada zetu wapo safi sana, fuatilia hata rate ya talaka mkoa wa Mbeya uone ni kiasi gani ukilinganisha na hiyo mikoa ya hao uliowauliza wakupe ushauri.