Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kweli wana ukorofi gani? inategemea ntu na ntu, nina mnyakyusa wangu mwaka wa nane huuWakuu sisi ni wamasai.
Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.
Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.
Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??
Tumshauri.
Ero Maasai, subhai? Sasa kanyo yeye nataka oa ndito ya rumeki? Kwani ile ndito ya el Maasai nakwisa? Kama nataka dumisha mila yetu tafutia yeye ndito moja sidai tukulu hapo nyumbani. Achana kabisa na hiyo syangigi ya rumeki. Taisele.Wakuu sisi ni wamasai.
Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.
Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.
Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??
Tumshauri.
Iphaa.Ero Maasai, subhai? Sasa kanyo yeye nataka oa ndito ya rumeki? Kwani ile ndito ya el Maasai nakwisa? Kama nataka dumisha mila yetu tafutia yeye ndito moja sidai tukulu hapo nyumbani. Achana kabisa na hiyo syangigi ya rumeki. Taisele.
Ndagha fijo 😅Sasa wanyaki si ndio ma wife material kabisa boss?? Heshima, adabu, utii ndio nyumbani . Hata ile siku ya pete wanawake ndio huwa tunapiga goti.
Na nyie wamaasai na tabia zenu za kubeba marungu, sime, mikuki na mswaki wa kijiti mdomoni hamtakubaliwa na wanyakyusa wasomi wasiotembea na silaha, nyie saizi yenu ni wamang'ati.Wakuu sisi ni wamasai.
Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.
Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.
Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??
Tumshauri.
Hivi hii dhana ya wanyakyusa wababe mmeitoa wapi mkuu? Wanawake wa kinyakyusa hawataki mwanaume mvivu na laini laini, wanataka mwanaume anaeusimamia uanaume.Wanyakyusa hawaachani kwa taraka, huwa mwanaume anaamua kuondoka kimya kimya.
Wanawake wa kinyakyusa ni wababe sana, huku wakijifanya ni walokole sana
Msichezee wanyaki Stroke haitawaacha salama 😅Ugonile?
Acha mke mzuri kwa maneno ya watu shauri yakoMbona masharti magumu hivyo.
Yaan mtu anajipa utakatifu yeye binafsi kwa kuchafua wengine.... inabidi kuwaongezea juhudi ya kwenda huko waonapo ni salamasio kweli wana ukorofi gani? inategemea ntu na ntu, nina mnyakyusa wangu mwaka wa nane huu
Tuko vizuri kwa hilo wala usiwe na shaka.Na nyie wamaasai na tabia zenu za kubeba marungu, sime, mikuki na mswaki wa kijiti mdomoni hamtakubaliwa na wanyakyusa wasomi wasiotembea na silaha, nyie saizi yenu ni wamang'ati.
kuna rafiki yangu dada wa kinyiramba huwa anasema ukitaka kuoa usije kwetu hatujatulia, kwanza kuachana sio habari mpya.Yaan mtu anajipa utakatifu yeye binafsi kwa kuchafua wengine.... inabidi kuwaongezea juhudi ya kwenda huko waonapo ni salama
Wale wote ndoa zinawashinda na kuwasumbua nadhani wameoa Wanyakyusa.
Tunao huku mtaani mkuu!Hivi hii dhana ya wanyakyusa wababe mmeitoa wapi mkuu? Wanawake wa kinyakyusa hawataki mwanaume mvivu na laini laini, wanataka mwanaume anaeusimamia uanaume.
Fuatilia ndoa za mwanamke wa kinyakyusa na makabila yenye "mfumo dume" kama wasukuma zinavyoenda fresh kabisa.
Kitu pekee dada zangu hawapoi ni kwenye mdomo tu, usipowajibika unapigiwa mdomo 24/7