Mdogo wangu anataka Kuoa Mnyakyusa atawaweza hawa watu?

Mdogo wangu anataka Kuoa Mnyakyusa atawaweza hawa watu?

Wakuu sisi ni wamasai.

Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.

Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.

Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??

Tumshauri.
Kama ni wa mwakaleli yaan wale weupe mwambie akimbie
 
Wakuu sisi ni wamasai.

Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.

Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.

Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??

Tumshauri.
Chomeka mkuki nje ya nyumba yake ukatest kama atamfaa mdogo wako
 
Wakuu sisi ni wamasai.

Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.

Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.

Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??

Tumshauri.
Hakuna wanyaki OG siku hizi utakuta hata kijijini kwao hajawahi enda Nyaki jina tu.....wamekulia mijini humu....oa tu mtarekebishana uzungu wenu mkiwa ndaniiiii
 
Kwenye tano bora za wake wa kuoa, ni hawa
1.wasandawe
2.Wasafwa
3.wabena
4.Wanyakyusa
5.Wasukuma.

Oa, ni wachamungu, wasikivu, wachapa kazi, wanyeneyekevu na utiina waaminifu.
Na hawana historia ya kuua waume zao
Toa wabena hapo...walogi Acha kabisaa...nina case mbili Jamaa walioa wabena wote wametangulia mbele za haki....miongoni ni uncle angu
 
Wakuu sisi ni wamasai.

Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.

Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.

Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??

Tumshauri.
Muache aoe ili mpate vituko kwenye familia.Kwani hampendi kucheka ninyi.
cc;gudada gwangu fulani binti fulani.
 
Wakuu sisi ni wamasai.

Ila mdogo wangu anataka kuoa binti wa kinyakyusa.

Dogo kachagua, ila tabia za wanawake wa kinyakyusa kwa utafiti wangu ila bado sijathibitisha ni wakorofi sana.

Mnaona huyu dogo anaweza fan ikiwa kwa huyu binti??

Tumshauri.
Achana na kabila hilo. Achana na kuuoa mwanamke mnyakyusa. Hao wanaolewa alama tu, yaani kutoa gundu.

Wengi huwachezea wanaume wao, wanaume hukosa maamuzi, hubakia mazumbukuku tu.

Hata mwanaume Mnyakyusa mwenye kisomo haoi mwanamke myakyusa. I am telling you, stop it and thank me later
 
Back
Top Bottom