Mdogo wangu anataka Kuoa Mnyakyusa atawaweza hawa watu?

Mdogo wangu anataka Kuoa Mnyakyusa atawaweza hawa watu?

Ivi watanzania swala la ukabila litaisha lini?
Ukabila sio ule kama wa wakenya,na hii sio ukabila wala usichochee ujinga,
Kabila la mwanamke na tabia ni mambo yasiyoachana,mwanamke wa kirangi,digo,mhaya,mnyaturu ,mmachame ,wasambaa,wa kusini hawawezi wa kawaida kawaida utakutwa tu jambo zito
 
Gaddem shit stay away from those women

Mwaka 2021 nawaaga masela jf naenda kozi mbeya nikavae gwanda . Namaliza fresh napangiwa kulekule niliuokutana nayo kwa yule binti wa kinyaki

Bora uncle muddy aliniagua ningesahau Manzese


Anyway asiye sikia la mguu uvunjika guu na lisemwalo lipo kama halipo laja


Ni wachawi wanapenda roga wanaume na wana roho mbaya
Wachawi wapo kila sehemu bwana kama huyo wako alikua mchawi ni huyo na wala sio wote.
 
Kama tu ni bikira oa,vinginevyo hakuna ndoa yenye baraka hata maandiko yanasema
 
Amuoe wakakae mbali na kwao,tabia za mwanamke zinakuwa active akikaa na jamii yake ila anapokaa mbali na jamii yake anakuwa tofauti anaiga tabia za wanaomzunguka.

Mfano wanawake wa wachagga waliokulia Dar au kuzaliwa Dar wanajua kupika vizuri sana mapishi mbali mbali kushinda hata hawa wa Dar wenyewe.

Wamburu wakikaa huku pwani wanajua kugongwa hovyo ni kujidhalilisha sababu sio ustaarabu kwa mwanamke kuwa hivyo.
 
Nina binti wa kazi hapa home ni msukuma binti ametulia natamani kumugeuza mke Ila nakumbuka sivutiwi nae ni Tamaa tu za kimwili naona kabsa hapa nitaongeza singo maza mwingine, nimeamua kujizuia
Ni pasie huku.
 
Ubishi na waha ni matako na dimpozi
Alafu nani atakuwa anapika hapa maskani
Ila Wanawake wa Kiha ni wavumilivu sn kwenye ndoa .. ukiona hawafai jaribu Wazaramo wapo vizuri...
 
Kwa Tanzania kabila lililo bakiza wife material ni wasukuma na wabena tu
Ukitaka Msukuma aliyetulia oa kwenye zile familia za kifugaji sio zile za wauza wanzuki na kucheza miziki ya Bhudagala..
 
Back
Top Bottom