The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
Ukabila sio ule kama wa wakenya,na hii sio ukabila wala usichochee ujinga,Ivi watanzania swala la ukabila litaisha lini?
Wachawi wapo kila sehemu bwana kama huyo wako alikua mchawi ni huyo na wala sio wote.Gaddem shit stay away from those women
Mwaka 2021 nawaaga masela jf naenda kozi mbeya nikavae gwanda . Namaliza fresh napangiwa kulekule niliuokutana nayo kwa yule binti wa kinyaki
Bora uncle muddy aliniagua ningesahau Manzese
Anyway asiye sikia la mguu uvunjika guu na lisemwalo lipo kama halipo laja
Ni wachawi wanapenda roga wanaume na wana roho mbaya
Mimi nshazeeka nenda utafute kadogo dogo.Ngoja nisake kwanza usikute na wewe ni msakwaji😅😅😅
Ms R njoo uchukue maua yakoKwa Tanzania kabila lililo bakiza wife material ni wasukuma na wabena tu
😅 and how 🤣🤣Kataa ndoa mkuu...
Ndoa ni uhalifu...
Ni pasie huku.Nina binti wa kazi hapa home ni msukuma binti ametulia natamani kumugeuza mke Ila nakumbuka sivutiwi nae ni Tamaa tu za kimwili naona kabsa hapa nitaongeza singo maza mwingine, nimeamua kujizuia
Ubishi na waha ni matako na dimpoziOngeza na Wakurya na Waha.. tatizo la Waha ni uchafu na uchoyo.. lkn kwenye ndoa ni wavumilivu.
Alafu nani atakuwa anapika hapa maskaniNi pasie huku.
Utatafuta mwingineUbishi na waha ni matako na dimpozi
Alafu nani atakuwa anapika hapa maskani
Mwache avute combo hicho achana na ukabilaYeye nia yake ni kuvuta chombo
Unajua una mambo ya kikomedi sana dogo😂😅Huyo mdogo wako ndio wewe.
Ila Wanawake wa Kiha ni wavumilivu sn kwenye ndoa .. ukiona hawafai jaribu Wazaramo wapo vizuri...Ubishi na waha ni matako na dimpozi
Alafu nani atakuwa anapika hapa maskani
Ukitaka Msukuma aliyetulia oa kwenye zile familia za kifugaji sio zile za wauza wanzuki na kucheza miziki ya Bhudagala..Kwa Tanzania kabila lililo bakiza wife material ni wasukuma na wabena tu
Hapo sema hela ndio inamaadili sio makabila mwanaume kama huna kazi ya maana au hela kwa dunia ya leo ngumu kwetuKwa Tanzania kabila lililo bakiza wife material ni wasukuma na wabena tu