Mdogo wangu Nusrat Hanje, kama uko 'serious' ujasiri mkubwa ni kufanya hivi

Mdogo wangu Nusrat Hanje, kama uko 'serious' ujasiri mkubwa ni kufanya hivi

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,781
Reaction score
6,139
Tufanye ni kweli hukujua chochote mpaka baada ya kuapishwa ndiyo ukajua kumbe umeingizwa chaka, na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, kwa haraka ni kwamba kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.

Kwa umri wako ili kutengeneza tena heshima yako na imani kwa watu wengi basi jiuzulu huo Ubunge. Amua kuachana na huo Ubunge na omba radhi kwa chama chako, utapoteza marafiki kadhaa kwa muda na lile 'vaibu' la kibungebunge lakini heshima utakayopata Itakuwa ya kudumu na inshallah unaweza kupata tena Ubunge kwa chama chako kwa njia halali kabisa mwaka 2025.

Nataka kukwambia utanishukuru baadaye sana.

Achana na akina Mdee.
 
Tufanye ni kweli hukujua chochote mpaka Baada ya kuapishwa ndio ukajua kumbe Umeingizwa Chaka,
Na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, Kwa haraka ni kwamba Kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.

Kwa umri wako Ili kutengeneza Tena Heshima Yako na Imani Kwa watu wengi basi JIUZULU HUO UBUNGE,
Amua kuachana na Huo UBUNGE na omba radhi Kwa Chama chako
Nataka kukuambia utanishukuru baadae sana.

Achana na akina Mdee
Kwa umri wako Ili kutengeneza Tena Heshima Yako na Imani Kwa watu wengi basi JIUZULU HUO UBUNGE,
Amua kuachana na Huo UBUNGE na omba radhi Kwa Chama chako
Nataka kukuambia utanishukuru baadae sana.

Achana na akina Mdee
 
Tufanye ni kweli hukujua chochote mpaka Baada ya kuapishwa ndio ukajua kumbe Umeingizwa Chaka,
Na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, Kwa haraka ni kwamba Kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.

Kwa umri wako Ili kutengeneza Tena Heshima Yako na Imani Kwa watu wengi basi JIUZULU HUO UBUNGE,
Amua kuachana na Huo UBUNGE na omba radhi Kwa Chama chako
Nataka kukuambia utanishukuru baadae sana.

Achana na akina Mdee
Kama ana masikio akusikie atakuja kukushukuru ni kweli
 
Tufanye ni kweli hukujua chochote mpaka Baada ya kuapishwa ndio ukajua kumbe Umeingizwa Chaka,
Na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, Kwa haraka ni kwamba Kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.

Kwa umri wako Ili kutengeneza Tena Heshima Yako na Imani Kwa watu wengi basi JIUZULU HUO UBUNGE,
Amua kuachana na Huo UBUNGE na omba radhi Kwa Chama chako utapoteza marafiki kadhaa Kwa muda na lile 'vaibu' la kibunge Bunge lakini Heshima utakayopata Itakuwa ya kudumu na inshallah unaweza kupata Tena UBUNGE Kwa Chama chako Kwa njia halali kabisa Mwaka 2025
Nataka kukuambia utanishukuru baadae sana.

Achana na akina Mdee

Huyu asingejirahisisha , 2025 alikuwa anabeba ubunge Singida mjini asubuhi na mapema. Hii ni sawa na Hawa Mwaifunga Tabora Mjini alikuwa ameikamata vilivyo, na 2025 alikuwa hana mpinzani.
 
Huyu asingejirahisisha , 2025 alikuwa anabeba ubunge Singida mjini asubuhi na mapema. Hii ni sawa na Hawa Mwaifunga Tabora Mjini alikuwa ameikamata vilivyo, na 2025 alikuwa hana mpinzani.

mnadhani ubunge ni chupi.

Ati Singida angeichukua[emoji23][emoji23] acheni unyumbu wabongo washajua utapeli wa nyumbu.
 
Chadema matapeli sana mnatudanganya eti wamepata ubunge kinyume na chama kumbe mliwachagua wenyewe afadhali nishabikie Arsenal kuliko drama za siasa
 
Huyu asingejirahisisha , 2025 alikuwa anabeba ubunge Singida mjini asubuhi na mapema. Hii ni sawa na Hawa Mwaifunga Tabora Mjini alikuwa ameikamata vilivyo, na 2025 alikuwa hana mpinzani.
Hivi nyie mnajuaje 2025 kutakuwa na uchaguzi?
 
Huyo Nusrat mimi nimesoma nae ni mbishi kinoma, aisee ni hatari sijui kama atakuelewa mkuu

Ana ubishi wa kijinga, kwa hapa ameshikwa pabaya huo ubishi wa kinoma utamtokea puani. Paskali Mayalla ndio alikuwa anawajaza kichwa eti viongozi wa juu wa CDM wanahusika, na wakienda mahakamani hao viongozi wataumbuka.

Na kweli hao wanawake wakavimba vichwa, sasa ndio hao wanasema mwenyekiti na katibu Mkuu ndio waliomtoa magereza. Unajiuliza ni wapi wapinzani wanaweza kupata nguvu ya kumtoa mtuhumiwa gerezani usiku?
 
mnadhani ubunge ni chupi.

Ati singida angeichukua[emoji23][emoji23] acheni unyumbu wabongo washajua utapeli wa nyumbu.

Nyumbu mwenyewe mjaa laana. Kama umezoea matusi peleka kwa waume zako. Tapeli Nani? Anayebeba tozo lakini wananchi wake hawana uhakika wa maji na umeme. Unaisema CHADEMA wakati CCM ndio imeshikilia vyombo vyote vya maamuzi. Wananchi gani hao Wana hamu na CCM?. Mgao wa maji umeme, mfumuko wa Bei , tozo, rushwa, polisi kukamatwa wanatorosha wahamiaji haramu etc.
 
Tufanye ni kweli hukujua chochote mpaka Baada ya kuapishwa ndio ukajua kumbe Umeingizwa Chaka,
Na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, Kwa haraka ni kwamba Kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.

Kwa umri wako Ili kutengeneza Tena Heshima Yako na Imani Kwa watu wengi basi JIUZULU HUO UBUNGE,
Amua kuachana na Huo UBUNGE na omba radhi Kwa Chama chako utapoteza marafiki kadhaa Kwa muda na lile 'vaibu' la kibunge Bunge lakini Heshima utakayopata Itakuwa ya kudumu na inshallah unaweza kupata Tena UBUNGE Kwa Chama chako Kwa njia halali kabisa Mwaka 2025
Nataka kukuambia utanishukuru baadae sana.

Achana na akina Mdee
Aomba radhi kwanani je akija Tena Kama Magufuli itakuaje , aendelee kupambana hapohapo shida ya ushahidi wakusetiwa ukigeuzwa kidogo tu umekwisha


Yaleyale ya akina kamanda Kingai akigeuzwa maratatu au mbili akiona hali mbaya ruhusa fasta kwenda chooni kufikiria upya ushahidi wakupangwa Kama hujaelewa OMBA udhuri wakuumwa

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Ana ubishi wa kijinga, kwa hapa ameshikwa pabaya huo ubishi wa kinoma utamtokea puani. Paskali Mayalla ndio alikuwa anawajaza kichwa eti viongozi wa juu wa CDM wanahusika, na wakienda mahakamani hao viongozi wataumbuka.

Na kweli hao wanawake wakavimba vichwa, sasa ndio hao wanasema mwenyekiti na katibu Mkuu ndio waliomtoa magereza. Unajiuliza ni wapi wapinzani wanaweza kupata nguvu ya kumtoa mtuhumiwa gerezani usiku?
Mkuu wa magereza na watu wa zamu wataitwa kuthibitisha Hilo kila kitu kitakua sawa wapi walisaini akina mbowe na mnyika

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom