Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wavuane nguo na nani ?UYu dada Kwenye hoja namkubali sana yuko njema mno.
CDM wamalizane tuu na hawa vijana maana wataishia kuvuana nguo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wavuane nguo na nani ?UYu dada Kwenye hoja namkubali sana yuko njema mno.
CDM wamalizane tuu na hawa vijana maana wataishia kuvuana nguo
Chadema matapeli sana mnatudanganya eti wamepata ubunge kinyume na chama kumbe mliwachagua wenyewe afadhali nishabikie Arsenal kuliko drama za siasa
UYu dada Kwenye hoja namkubali sana yuko njema mno.
CDM wamalizane tuu na hawa vijana maana wataishia kuvuana nguo
Kweli kila mchuma janga hula na wa kwake. Hili zigo alilowaachia Mwendazake linawatesa sana CCM. Jinsi ya kulimaliza inakuwa ngumu sanaTufanye ni kweli hukujua chochote mpaka Baada ya kuapishwa ndio ukajua kumbe Umeingizwa Chaka,
Na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, Kwa haraka ni kwamba Kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.
Kwa umri wako Ili kutengeneza Tena Heshima Yako na Imani Kwa watu wengi basi JIUZULU HUO UBUNGE,
Amua kuachana na Huo UBUNGE na omba radhi Kwa Chama chako utapoteza marafiki kadhaa Kwa muda na lile 'vaibu' la kibunge Bunge lakini Heshima utakayopata Itakuwa ya kudumu na inshallah unaweza kupata Tena UBUNGE Kwa Chama chako Kwa njia halali kabisa Mwaka 2025
Nataka kukuambia utanishukuru baadae sana.
Achana na akina Mdee
ni Mpumbavu tu ndio ataamini Kauli hiyoAijuzulu ubunge kwa nini wakati Mbowe na Mnyika walimfuata Jela wakamhakikishia kuwa kila kitu safi?
Huyu asingejirahisisha , 2025 alikuwa anabeba ubunge Singida mjini asubuhi na mapema. Hii ni sawa na Hawa Mwaifunga Tabora Mjini alikuwa ameikamata vilivyo, na 2025 alikuwa hana mpinzani.
Kiuhalisia mara ya mwisho kuwa na 'uchaguzi' ni mwaka gani?Kikatiba sio nadharia. Kikatiba kila baada ya miaka mitano Kuna uchaguzi mkuu.
Ndege mmoja mkononi ni bora kuliko kenda walioko porini. Tena ubunge ni ule ule, akiupata sasa au hata akiupata 2025 haina tofautiHuyu asingejirahisisha , 2025 alikuwa anabeba ubunge Singida mjini asubuhi na mapema. Hii ni sawa na Hawa Mwaifunga Tabora Mjini alikuwa ameikamata vilivyo, na 2025 alikuwa hana mpinzani.
Yale yale ya kina Kingai!! Walipoambiwa kutoa vitabu vya records wakawa wana jichanganya tu!! Hilo alilosema ni rahisi tu kuridhibitisha, kupitia records za gereza husika!!Ila kweli jamani kwa siasa zile za kambale hao wakina mnyika wangethubutu vipi kulifanya hilo?Mkuu wa magereza na watu wa zamu wataitwa kuthibitisha Hilo kila kitu kitakua sawa wapi walisaini akina mbowe na mnyika
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Karma is around bro...Kama ana masikio akusikie atakuja kukushukuru ni kweli
Chadema walifanya uchaguzi Mdogo wa wabunge lin?Chadema matapeli sana mnatudanganya eti wamepata ubunge kinyume na chama kumbe mliwachagua wenyewe afadhali nishabikie Arsenal kuliko drama za siasa
2020 hatukua na uchaguzi inamaana na 2025 hatutakua na uchaguzi?Hivi nyie mnajuaje 2025 kutakuwa na uchaguzi?
Mzee mdee alipewa B 10 na yule dhalim aliyeko motoniHata asipo mshukuru, looks like bado ana mapenzi na Chama chake mnoo... Halima ali walaghai wenzake
Msukule wa Ayatollah huoUwe unaelewa mada
Nyumbu mumeo anayekuweka mjinimnadhani ubunge ni chupi.
Ati singida angeichukua[emoji23][emoji23] acheni unyumbu wabongo washajua utapeli wa nyumbu.
Kwa umri wako Ili kutengeneza Tena Heshima Yako na Imani Kwa watu wengi basi JIUZULU HUO UBUNGE,Tufanye ni kweli hukujua chochote mpaka Baada ya kuapishwa ndio ukajua kumbe Umeingizwa Chaka,
Na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, Kwa haraka ni kwamba Kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.
Kwa umri wako Ili kutengeneza Tena Heshima Yako na Imani Kwa watu wengi basi JIUZULU HUO UBUNGE,
Amua kuachana na Huo UBUNGE na omba radhi Kwa Chama chako utapoteza marafiki kadhaa Kwa muda na lile 'vaibu' la kibunge Bunge lakini Heshima utakayopata Itakuwa ya kudumu na inshallah unaweza kupata Tena UBUNGE Kwa Chama chako Kwa njia halali kabisa Mwaka 2025
Nataka kukuambia utanishukuru baadae sana.
Achana na akina Mdee
Umeongea point sana mkuuTufanye ni kweli hukujua chochote mpaka Baada ya kuapishwa ndio ukajua kumbe Umeingizwa Chaka,
Na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, Kwa haraka ni kwamba Kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.
Kwa umri wako Ili kutengeneza Tena Heshima Yako na Imani Kwa watu wengi basi JIUZULU HUO UBUNGE,
Amua kuachana na Huo UBUNGE na omba radhi Kwa Chama chako utapoteza marafiki kadhaa Kwa muda na lile 'vaibu' la kibunge Bunge lakini Heshima utakayopata Itakuwa ya kudumu na inshallah unaweza kupata Tena UBUNGE Kwa Chama chako Kwa njia halali kabisa Mwaka 2025
Nataka kukuambia utanishukuru baadae sana.
Achana na akina Mdee