Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Aijuzulu ubunge kwa nini wakati Mbowe na Mnyika walimfuata Jela wakamhakikishia kuwa kila kitu safi?
We boya kabisa, kwa hiyo mbowe na mnyika walikuwa na nguvu ya kwenda na kumtoa mahabusu nusrat gerezani sio??, we ni mkubwa lkn kichwani ni hamnazoAijuzulu ubunge kwa nini wakati Mbowe na Mnyika walimfuata Jela wakamhakikishia kuwa kila kitu safi?
Na weye amekubashiria nani kwamba hautokuwepo?Hivi nyie mnajuaje 2025 kutakuwa na uchaguzi?
Na hapo ndipo tujue kwamba hutakiwi kumtegemea mwanadamu kwenye dunia ya Mungu...walikuwa wamekata tamaa wakidhani Magufuli atadumu muda mrefu madarakani.
..kwa hiyo mahesabu na mipango yao ya muda mfupi na mrefu ilijumuisha matarajio kwamba Magufuli angekuwa Raisi kwa muda mrefu ujao.
..KIFO cha Magufuli kimetibua mipango ya watu wengi sana ikiwemo hawa kina mama.
Huyo ni li-redio likuuubwaaa ila bendi moja.😂😂😂We boya kabisa, kwa hiyo mbowe na mnyika walikuwa na nguvu ya kwenda na kumtoa mahabusu nusrat gerezani sio??, we ni mkubwa lkn kichwani ni hamnazo
Ni muda sasa wa kuuacha ujinga ili kutengeneza baadaye njema.sarakasi zinaendelea, ni watanzania wachache sana wenye ujasiri wa kuacha fupa kama la ubunge na kujiuzulu. Wengi njaa zinawasumbua na wameweka matumbo mbele na ubinafsi.
Acheni kujifanya hamuijui Tanzania!Huyu asingejirahisisha , 2025 alikuwa anabeba ubunge Singida mjini asubuhi na mapema. Hii ni sawa na Hawa Mwaifunga Tabora Mjini alikuwa ameikamata vilivyo, na 2025 alikuwa hana mpinzani.
Amefanyaje!! Em weka ka klipuTufanye ni kweli hukujua chochote mpaka baada ya kuapishwa ndiyo ukajua kumbe umeingizwa chaka, na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, kwa haraka ni kwamba kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.
Kwa umri wako ili kutengeneza tena heshima yako na imani kwa watu wengi basi jiuzulu huo Ubunge. Amua kuachana na huo Ubunge na omba radhi kwa chama chako, utapoteza marafiki kadhaa kwa muda na lile 'vaibu' la kibungebunge lakini heshima utakayopata Itakuwa ya kudumu na inshallah unaweza kupata tena Ubunge kwa chama chako kwa njia halali kabisa mwaka 2025.
Nataka kukwambia utanishukuru baadaye sana.
Achana na akina Mdee.
yani kina mbowe wamfate gerezan kumhakikishia mambo yako safi wawaache kina catherine Ruge na kina Devota Minja au kina Upendo peneza waliokua nje this is a joke na kwa taarifa yako kama hujui hao wapuuz wanachofanya ni kubuy time tu lakin hadi decemba kila kitu kitakuwa wazi maana hukumu itakua imetoka.Aijuzulu ubunge kwa nini wakati Mbowe na Mnyika walimfuata Jela wakamhakikishia kuwa kila kitu safi?
Nusrat HUO ndio ukweli halisi hujajua kuwa Umechomekewa!!Tufanye ni kweli hukujua chochote mpaka baada ya kuapishwa ndiyo ukajua kumbe umeingizwa chaka, na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, kwa haraka ni kwamba kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.
Kwa umri wako ili kutengeneza tena heshima yako na imani kwa watu wengi basi jiuzulu huo Ubunge. Amua kuachana na huo Ubunge na omba radhi kwa chama chako, utapoteza marafiki kadhaa kwa muda na lile 'vaibu' la kibungebunge lakini heshima utakayopata Itakuwa ya kudumu na inshallah unaweza kupata tena Ubunge kwa chama chako kwa njia halali kabisa mwaka 2025.
Nataka kukwambia utanishukuru baadaye sana.
Achana na akina Mdee.
huyo pascal mayalla ni kanjanja tu anajifanya mjuaji wa mambo kwa kuleta maandiko uchwara ya notes za sheria darasan za administrative law akizani kwenye practice ni hivyo na nilimshaur jana aende akawasaidie hao wanawake wajinga mahakaman na huo uwakili wake ila hajafanya hivyo, had sasa amebaki kukoment jf tu kuhusiana na kesi hio.Ana ubishi wa kijinga, kwa hapa ameshikwa pabaya huo ubishi wa kinoma utamtokea puani. Paskali Mayalla ndio alikuwa anawajaza kichwa eti viongozi wa juu wa CDM wanahusika, na wakienda mahakamani hao viongozi wataumbuka.
Na kweli hao wanawake wakavimba vichwa, sasa ndio hao wanasema mwenyekiti na katibu Mkuu ndio waliomtoa magereza. Unajiuliza ni wapi wapinzani wanaweza kupata nguvu ya kumtoa mtuhumiwa gerezani usiku?
matapel ni nyinyi wajinga wa ccm na viongoz wenu wanaopeperusha bendera ya matokeo ya sensa kwenye ndege halafu mazezeta yake mnashangilia hivi kweli mmeshaacha kushangilia ile picha ya mamayenu kule dubai.Chadema matapeli sana mnatudanganya eti wamepata ubunge kinyume na chama kumbe mliwachagua wenyewe afadhali nishabikie Arsenal kuliko drama za siasa
unaakili sana wewe.Mkuu wa magereza na watu wa zamu wataitwa kuthibitisha Hilo kila kitu kitakua sawa wapi walisaini akina mbowe na mnyika
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Mjinga wewe.Enzi za Jiwe nani angefanya hivyo?.Aijuzulu ubunge kwa nini wakati Mbowe na Mnyika walimfuata Jela wakamhakikishia kuwa kila kitu safi?