Nusrat ana poteza nyota yake akiwa bado mtoto. Asipo kuwa smart umaarufu unaisha tukutane kwenye biashara ya vitumbua.Hata asipo mshukuru, looks like bado ana mapenzi na Chama chake mnoo... Halima ali walaghai wenzake
Mwalimu Hanje: bila shaka wewe ni mdogo kiumri lakini umesoma. Vita ya Pili ya Dunia iliongozwa na Hitler wa Ujerumani ikiungana na Italy na Japan ikaitawala Ulaya yote kasoro UK. Mayahudi milioni 6 Warussi milioni 3 na wengine wengine jumla watu miĺioni 17 waliteketea. UK kwa muungano na US na USSR (Urusi) ukamng'oa Hitler 1945 akajiua Berlin kabla hajatekwa na kikodi cha Corporal Andrei Vasiliev wa Jeshi la Sovieti. Majenerali wa Hitler chini ya Gen. Kurt Keitel wakakamatwa wakashitakiwa Nuremberg 1947 kwa mauaji. UTETEZI WAO MKUBWA ULIKUWA NI KUWA WAO KAMA ASKARI ILIBIDI WATII AMRI YA COMMANDER IN CHIEF HITLER. Utetezi ulikataliwa, wakanyongwa 1947. Wengine walijifichwa wanatafutwa hadi leo. Kwa nini nimekwambia haya Mwalimu mwenzangu? Ni kuwa kosa lenu CHADEMA mlikataa kutii amri ya mbowe/HITLER na tundulissu/KEITEL - amri kutolitambua Bunge na Rais waliotangazwa kikatiba na Tume ya Uchaguzi. Kama mngewatii, mngekakataa kuapa au kwenda bungeni kwa kutii amri ya kihaini nanyi mngekuwa mnatenda kosa la uhaini. MLICHOFANYA DADA NI SAWA NA NI HALALI NA UTETEZI WENU NI KESI YA NUREMBERG 1947. USIWE NA WASIWASI DUNIA ITAKULINDATufanye ni kweli hukujua chochote mpaka baada ya kuapishwa ndiyo ukajua kumbe umeingizwa chaka, na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, kwa haraka ni kwamba kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.
Kwa umri wako ili kutengeneza tena heshima yako na imani kwa watu wengi basi jiuzulu huo Ubunge. Amua kuachana na huo Ubunge na omba radhi kwa chama chako, utapoteza marafiki kadhaa kwa muda na lile 'vaibu' la kibungebunge lakini heshima utakayopata Itakuwa ya kudumu na inshallah unaweza kupata tena Ubunge kwa chama chako kwa njia halali kabisa mwaka 2025.
Nataka kukwambia utanishukuru baadaye sana.
Achana na akina Mdee.
Itategemea kama Mbowe na Mnyika walikwenda kweliKuna register ya wageni kule Gerezani. Magereza watamkana. Siyo rahisi kujibu hivyo mzee.
Unategemea cha maana toka Kwa CCM?Uwe unaelewa mada
Kwani paskali ashawahi simama mahakamanihuyo pascal mayalla ni kanjanja tu anajifanya mjuaji wa mambo kwa kuleta maandiko uchwara ya notes za sheria darasan za administrative law akizani kwenye practice ni hivyo na nilimshaur jana aende akawasaidie hao wanawake wajinga mahakaman na huo uwakili wake ila hajafanya hivyo, had sasa amebaki kukoment jf tu kuhusiana na kesi hio.
Nusrat Hanje, Umepewa ushauri mzuri.Tufanye ni kweli hukujua chochote mpaka baada ya kuapishwa ndiyo ukajua kumbe umeingizwa chaka, na pia unaomba majadiliano nje ya mahakama, kwa haraka ni kwamba kuna mambo umetofautiana na akina Mdee.
Kwa umri wako ili kutengeneza tena heshima yako na imani kwa watu wengi basi jiuzulu huo Ubunge. Amua kuachana na huo Ubunge na omba radhi kwa chama chako, utapoteza marafiki kadhaa kwa muda na lile 'vaibu' la kibungebunge lakini heshima utakayopata Itakuwa ya kudumu na inshallah unaweza kupata tena Ubunge kwa chama chako kwa njia halali kabisa mwaka 2025.
Nataka kukwambia utanishukuru baadaye sana.
Achana na akina Mdee.
Mimi sijui, wewe unajua?2020 hatukua na uchaguzi inamaana na 2025 hatutakua na uchaguzi?
Mimi nmesema hautakuwepo? Mimi sijui...ila nyie mmejuaje utakuwepo?Na weye amekubashiria nani kwamba hautokuwepo?
Nyaraka za Magereza zinaweza kuthibitisha hili?Aijuzulu ubunge kwa nini wakati Mbowe na Mnyika walimfuata Jela wakamhakikishia kuwa kila kitu safi?
huyo pascal mayalla ni kanjanja tu anajifanya mjuaji wa mambo kwa kuleta maandiko uchwara ya notes za sheria darasan za administrative law akizani kwenye practice ni hivyo na nilimshaur jana aende akawasaidie hao wanawake wajinga mahakaman na huo uwakili wake ila hajafanya hivyo, had sasa amebaki kukoment jf tu kuhusiana na kesi hio.