Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

.. Sema ukiwa brother kuna wakat lazima u act kibabe kwa hawa madogo wa kike kwa sababu sawa maamuz yapo mikononi mwake ya nn afanye na nn asifanye shida tu inakuja akishajazwa mimba na hao bodaboda akakimbia mji mtoto inakua jukumu lako brother, ww ndio utasimama kama baba kwa huyo uncle...kwa sababu obvious mama atakuwa yupo yupo tu na shule hajamaliza.. Dingi kakimbia automatic unakua mzigo wako sasa ukianza kuona dalili hzo kwa nn usiwe mkali au kumuasa at least awe muangalifu..

Sent from my MAR-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Hajawahi kusikia fununu au hata kukuona una mpenzi ndio maaa kakuambia uwe kama mwanaume, na kwa sababu kakuambia ukweli ndio maana pia inakuuma.
 
Hivi ili kumshushia tusi huyu juha mleta uzi unabonyeza wapi[emoji3]
Maana hajielewi,yaani dogo anitukane nimwache hivihivi[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti juha mleta uzi
 
Duuuuh
 
UACHE KWELI,mdogo ako ana akili kukuzid wewe, acha shobo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtafanya mtoa post ajiue
 
Mazoea yakizidi sana kwa watu ambao mindset zao ziko negative huwa yanaleta dharau
💯FACT! Pale nyumbani kuna housegirl aliletwa daah kuna uncle wangu mmoja akawa anamzoea zoea kiboya aisee mwisho wa siku yule housegirl akawa anawadharau nyumba nzima!
 
hao sio wa kuongea nao ni wa bakora na viboko mwanzo mwisho…wewe kakutukana vile ila kuna kidume ambaye unamzidi miaka anapewa romantic za kutosha tena dada yako akileta ushenzi anapigwa akiwa kavaa kisha anapigwa tena akiwa kavua…
 
Kama unaishi kwenu hama.

Pia umekuja na story ya upande wako. Unajua sisi wengine tunasoma between lines. Mpaka anafikia kukuambia uache mambo ya kike, ni wazi wewe haumshauri bali unamfanyia unoko kinoma na unapiga sana gubu ambalo hapa unasema ni ushauri.

Acha hasira na ubadilishe approach. Msikilize pia kwani naye anazo akili zake ambazo hautakaa usmzijue hadi uoneshe kumuamini.

Boya sana wewe
 
[emoji817]FACT! Pale nyumbani kuna housegirl aliletwa daah kuna uncle wangu mmoja akawa anamzoea zoea kiboya aisee mwisho wa siku yule housegirl akawa anawadharau nyumba nzima!
Iko hivyo always
 
Miaka 20 yuko form four 🙆‍♀️🙆‍♀

Eti Watu8 hii sio chai kweli?
Angeachana nae tu huyo mbibi, alierudua madarasa anajua kila kitu,
Mimi nikimkanya mtu mara mbili huwa sirudii tena,
na yakimkuta ya kumkuta huwa sina huruma kabisa
 
Mkuu acha mambo ya kike yaani mpaka mdogo wako anakujua
 
Yaani unaheshimiana hadi na hausigelo, eti atakuonaje.!

Ukimaliza kutetemeka endelea kuandika, kuna vitu umeficha au umesahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…