Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

Kwa hiyo mtoa post asimkanye mdogo wake kisa nini? Kuna watu mna IQ ndogo mno ku process mambo.
Ilianzaga hivi hivi kipindi hicho kwa mdogo wangu

Sasa hivi ana mtoto mmoja, acha kufatilia kama anajifanya mbishi atajifunza ipo siku.
 
Ahsante kwa maelezo yako mazuri, nmejifunza kitu pia. Ubarikiwe.
 
Tatzo limeanzia kwako Wew kaka mkubwa, Mpaka Leo unakaa kupishana na Dada zako Hapo kwenu alikusema vile mbele ya Dada wa kazi Ili uondoke ukapange kwako na kingne uache kufatilia mambo yawanawake .
Sio wanawake, ni mdogo wangu, more enough anasoma. We ni mku ndugu yangu!?
 
Miaka 26 bado upo kwa mama unasubiri chakula cha hausigeli. Huyu mdogo wako kakushauri vyema kuwa uwe kama mwanaume. Sasa wewe endelea kutetemeka hapo halafu kesho umwombe mama hela ya kunyolea ndevu na vyuzi lako
Amna mkuu me nna kwangu
 
Chakula ya watu hiyo br,we fuata mambo yako ngojq tumlee
 
Eti akuna nitakachomfanya, kweli we ni mku nduguyangu. Nilifunga kamba nimetia mikanda nikamuacha kavimba karibu mwili wote. Anaugulia maumivi bado mpaka muda huu, nenda kashitaki sasa.!!! Mimi ndio kaka
 
Eti akuna nitakachomfanya, kweli we ni mku nduguyangu. Nilifunga kamba nimetia mikanda nikamuacha kavimba karibu mwili wote. Anaugulia maumivi bado mpaka muda huu, nenda kashitaki sasa.!!! Mimi ndio kaka
 
Duh! Eti kwenye medula oblongata. Labda wewe sio mimi mkuu, na kwann akupige kwanza? Huoni utakuwa mzembe na unatakiwa kuwajibishwa vikali na sheria za kiume?
 
Shida ilianzia hapo kwenye miaka 20 form four..!
Unategemea nini lazima wahuni wajigongee kama nyagi tu.

Muache kidogo dunia itamnyoosha kama akizembea masomo, vitoto vya siku hivi vinagongwa na vipo smart..
U smart upi unaoongelea?
 
Miaka 20 unnamshauri nini?
Huyo ni mtu mzima..
Unam treat mtu wa miaka 20 kama ana miaka 12..?

Matusi umejitakia..
Vijijini huyo ni mama wa vikoba na analima shamba lake mwenyewe
Upigwe na radi ufee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706]
Na majivu yako yatupwe mto wami daraja jipyaa..
Na yasogezwe mpaka bahari ya Hindi[emoji23][emoji23]
Na yasipumzike, yazungushee mpaka ulaya na asia. Na huko yakagandishwe Antarctica[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Reactions: Tui
Taikon..!
 
Miaka 20 unnamshauri nini?
Huyo ni mtu mzima..
Unam treat mtu wa miaka 20 kama ana miaka 12..?

Matusi umejitakia..
Vijijini huyo ni mama wa vikoba na analima shamba lake mwenyewe
Nilijuaga una akili sana
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…