unacheka unamana gani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 472
- 476
- Thread starter
-
- #61
Sawa, huenda upole wangu kwake umeniponzaKuacha mambo ya kike ni pamoja na kumzabua makofi mawili ya masikio ili akae sawa Mkuu..
Ila kama jibu lake limeishia tu kukunyong'onyeza Basi una mambo ya kike kweli mkuu..
Hahahahah wahuni lazma wampeleke Buza😂Usikute mleta mada ameshatomber sana dada za watu, inapokuja zamu yake kulipa deni anajifanya ana uchungu sana na dadake.
Acha wahuni wamtembezee ukuni vizuri, hapo kikubwa kuomba tu wahuni wasije kumpandisha daladala za Buza wakampeleka kwa Mpalange.
Ahsante, ila hujashauriKashajiona mkubwa huyo hasikii wala haambiwi kitu, pole sana.
Nimekuelewa, ila daaahUnatetemeka sababu unamuogopa,,
Wenzako tunatetemeka mtu akishapoteza fahamu!!!
Ahsante sanaAnza na beki tatu kwanza upunguze hasira
Halafu masuala ya wasichana waachieni dada zao kama hakuna yupo mama au shangazi wewe hangaika na kumsaidia financially ili wasitusumbue huku mitaani kwa kuombaomba tuhela twa chips [emoji489] na vocha
Beba ushauri huu au acha is up to you man
Daaah bado sijapoa, nina hasira na sijui nifanye niniHilo tusi alilokutukana ni sehemu ya ushahidi kwamba kweli mdogo wako huyo ameanza kujihusisha na 'uhuni'.
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Toka hapo nyumbani kwanza. Nenda mbali kidogoDaaah bado sijapoa, nina hasira na sijui nifanye nini
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Ahsante, ila huyu wangu haishi nyumbani kwangu, anaishi kwa wazazi bado!Shida ni palenunapojaribu kutatua mambo kwa style ya kizungu huku MTU amezungukwa na jamii ya kiafrika,mie mdogo wangu wa like alileta hizo pigo nilimwambia aondoke kwangu afanue mambo yake siku hizi amekuwa mdogo kama pilton.
Mzee nilishikwa na butwaa na sijui nini cha kufanya mpaka dk hiiumezingua ungemkata makofi hapo hapo sio unakuja kuleta malalamishi yako hapa.
ila huyu binti wa form four mwenye akili timamu mwenye miaka 20 hapana.
Umeongea fumbo, sijaelewa kosa langu lipo wapi!Bado utajionea Mengi Sana , Ndugu Ni sawa na Gunia lenye miiba mikali
Daaah, sio tatizo ila kwangu hilo tusi bado sijakaa sawaSio ameanza ,, Kesha Bobea tayari na Wahuni Wana mkunja haswaaa
Hela ninayo, ya kunitosha mimi na ndugu zangu, ila si tajiri.Kwanza nikuulize
UNA HELA??
UKIJIBU NTAKUSHAURI
Hapana, naheshimu mno wanawakeUsikute mleta mada ameshatomber sana dada za watu, inapokuja zamu yake kulipa deni anajifanya ana uchungu sana na dadake.
Acha wahuni wamtembezee ukuni vizuri, hapo kikubwa kuomba tu wahuni wasije kumpandisha daladala za Buza wakampeleka kwa Mpalange.
Acha tu yaaniPole Sana Mkuu Maana Nimejaribu Kuvaa Viatu Vyako Nimejikuta Nipo Kimya.
Shaurini basi, mbona mnaleta utoto tena?Hahahahah wahuni lazma wampeleke Buza[emoji23]