Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

Hahaha,dah this is interesting,hivi watu bado wanapiga sound kwa kuacha business card,very suicidal!
 
Kwamba wewe mwanasheria siyo..hao wawili watakapofanya yao ndo utajua maana ya mkataba.
 
Hahahaaaaa don't hate the player,hate the game.Deal na sista mkuu maana kabla hajakupa hiyo business card na kukwambia kuwa kampenda jamaa atakuwa alisha save number ya jamaa.
 
Hapa lawyer amekua provoked.... hahahaaaaaaa....
Wanaume watu wa ajabu sana, si ajabu we unachezea huko ila ikifikia kwa mdogo wako ama mwanao, sura inabadilika.... changes zinaanziaga kwenu....
Nimewaza tu mtoa mada...
 
Hapa lawyer amekua provoked.... hahahaaaaaaa....
Wanaume watu wa ajabu sana, si ajabu we unachezea huko ila ikifikia kwa mdogo wako ama mwanao, sura inabadilika.... changes zinaanziaga kwenu....
Nimewaza tu mtoa mada...

halioni hata aibu kujiita lawyer na linafanya upuuzi hiri rijamaa pumbaafu kweli... Mm nmeriambia toka jana kuwa muraa wewe turia tu wenye meno wajilie vyoa kama inamuuma sana bas na yeye aanza kumgegeda hiri rijamaa ra wapi? Amang'ana
 
Hapa lawyer amekua provoked.... hahahaaaaaaa....
Wanaume watu wa ajabu sana, si ajabu we unachezea huko ila ikifikia kwa mdogo wako ama mwanao, sura inabadilika.... changes zinaanziaga kwenu....
Nimewaza tu mtoa mada...

Exactly nameless girl, in law this is termed as 'provocation'.

Yani hapa nilipo 'heat of passion' iko juu kama ya mmasai aliyechokozwa!
 
Last edited by a moderator:
Nayafahamu yote haya yako kwenye Family law ila unadhan yote yaliyoainishwa kwenye sheria yanatekelezeka kweli?

Stop being blind my friend!

Yale yale! Kwa hiyo hata sheria ya U-18 ina apply kuwa haitekeleki?
 

Lawyer gani wewe ...upeo wako mdogo sana dadako ana nyege anataka kubanduliwa na kaka mpole unaleta vitisho..shauri zako kwa hasira watu watamtatua malinda kwa ajilimya vitisho vyako vya kibwege hivi
 
Ok tushajua kama wewe ni lawyer na mdogo wako anafanya kazi ubalozini
 
Unazidi kunipandisha hasira miss chagga

Mimi nataka apate mume sio achezewe tu

Eeeh, kwani kachezewaje hapo? Kaka mbona una haraka sana kama m... wa asubuhi? Mambo mazuri hayataki haraka, dadako kapewa b/card kwa mawasiliano zaidi then mengine yatafuata!We ulitaka waonane siku ya kwanza kesho yake aje ajitmbulishe? Au huyo binti yenu mmechoka sasa mwalazimisha/mwataka aolewe haraka??? We kaka wa CBA kuwa makinooooooo
 
Umeng'enye wa wenzio weeee saivi kwa mdogo wako unajifanya unatoa disclaimer! Kijana wa CBA ongezea unyunyu next time ukienda lounge akuelewe vizuri! Halafu kula mzigo tambaa....! U-lawyer utautumia vizuri jamaa akishakuwa baba mtoto wa mdogo wako halafu mdogo wakati kakolea mbaya na muwa wa kijana wa CBA!
 
Mkuu, ukiona manyoya jua kaliwa. Kama mdogo wako kafikia kukuambia kuwa amemdondokea mtu, fahamu kuwa wameishafika mbalia, unajua mabinti wa siku hizi hawajisumbui kuchunguza mtu, unaona Mdada kama huyo anavutiwa na perfume tu, jiulize perfume ni nini katika maisha, hiyo ina maana kuwa hujampatia nasaha za maisha. Mchunge kuku wako mmoja, huwezi kuwachunga vicheche ambao ni wengi. halafu unaweza kuta hata huyo kijana hafanyi kazi huko CBE, kama ni bus cards, mbona zinatengenezwa tu. Kwa nini ampatie bus card na sio numba ya simu, huoni kama kuna harufu ya utapeli hapo !!!
 
Sasa kama mdogo wako ndio kamzimia jamaa taratibu zifatwe kivipi si ndio kishajimaliza mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…