Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

Yale yale! Kwa hiyo hata sheria ya U-18 ina apply kuwa haitekeleki?

Mkuu ukitembea na mtoto wa below 18 lzm uwe strictly liable kwasababu sheria iko wazi. Sheria yenyewe ni SOSPA ( Sexual Offences Special Provision Act)

Kwa kesi ya kufanya kazi kwny balozi ni tofauti, as i told u sera za ajira kwny maeneo haya wanapima uwiano kati ya qualifications na perfomance ila age limit ni kuanzia miaka 17.

Sasa ukisema miaka pia haitekelezeki una maana gn? wkt nimeshakueleza ukiwa na sifa na umri wa miaka 17 unaweza kuanza kazi kwenye balozi kama intern wkt huo unakua kwny probation, wakiridhika na perfomance yako ndio wanakupa mkataba wa kudumu at the age of 18.


Kipi kigumu hapo?
 
Alafu pafume ambazo zinauzwa angeweza kuuliza jina akaenda kumnunulia bby wake ambae anampenda.
 
Mkuu ukitembea na mtoto wa below 18 lzm uwe strictly liable kwasababu sheria iko wazi. Sheria yenyewe ni SOSPA ( Sexual Offences Special Provision Act)

Kwa kesi ya kufanya kazi kwny balozi ni tofauti, as i told u sera za ajira kwny maeneo haya wanapima uwiano kati ya qualifications na perfomance ila age limit ni kuanzia miaka 17.

Sasa ukisema miaka pia haitekelezeki una maana gn? wkt nimeshakueleza ukiwa na sifa na umri wa miaka 17 unaweza kuanza kazi kwenye balozi kama intern wkt huo unakua kwny probation, wakiridhika na perfomance yako ndio wanakupa mkataba wa kudumu at the age of 18.


Kipi kigumu hapo?

kupata number yake ya simu
 
Ni mtoto wa baba yangu mdogo, anafanya kazi kwenye Embassy fulani (jina la Embassy kapuni), ila ana umri mdg bado na ni mlimbwende sana!

Sasa nimetoka zangu church muda si mrefu, baada ya kupata breakfast nikawa nashushia na ka-juice baridiii!

Nikaanza kumuona ananisogelea, mara ooh kaka nikudokeze jambo? nikamwambia go ahead. Amenizoea ndio, ila leo naona kama kavuka mipaka!

Akaanza ooh kaka jana nilikua Igoz Lounge, kuna mkaka alikua pembeni yetu nikamuelewa sana!!! Nikamuuliza anaposema anamuelewa anamaanisha nini?

Akasema amempenda! nikapigwa na butwaa! Akaendelea kusema eti amempendea perfume aliyokua amepulizia na ana uso wa upole!

Sasa to cut the long story short, we jamaa uliyekutana na mdg wangu jana, kama umo humu naomba uwe mstaarabu, kama umempenda kweli fuata taratibu. Ndio mdg wangu ameshakua mtu mzima lkn sipendi achezewe ktk umri mdg huu, she has a long way to go.

Unafanya kazi CBA, umemuachia business card, ulimkuta dogo na rafiki zake wanakunywa peroni ukataka kuwaagizia wakashukuru tu hawakukubali.

Mimi ni lawyer sasa kama unataka kupotezwa upuuzie haya maneno yangu, nimeshatoa 'disclaimer', jina lako ninalo hapa kwenye hii business card yako, sawa umependwa lkn uje nyumbani ufate taratibu tukupe mke, nimefunguka makusudi kwamba dogo kakupenda ingawa hakukwambia, coz nikificha huenda madhara yakawa makubwa zaidi.

Hata kama haumo humu naomba uzi huu uwe fundisho kwa wengine.

A.C

Hahahahaaaaaaaaaaa!!!!!!!
Mkuu unakosea sana tena unachemka mno hamnaga kitu kama hiyo kwenye mapenzi. unapoteza muda wako tu na utaishia kupata aibu.
 
Haya 0777 778004.

Umeridhika? mm sikatai shemeji ila awe na nia njema tu na mdg wangu.

Hahaa
Amicus, umerudi tena kwenye gambe? kweli hii kitu kuacha inahitaji moyo sana! Hivi we umejuaje anataka kumchezea?
 
Mikwara mingine bwana raha sana..!! Eti "mimi lawyer..."! Unajuaje mwenzio ni law kabisa...! Badala yake tumia fursa ya dogo kukwambia ukweli pia na contacts za jamaa umpigie debe mdogo wako aolewe fasta, maana waoaji wachache siku hizi...
 
Ni mtoto wa baba yangu mdogo, anafanya kazi kwenye Embassy fulani (jina la Embassy kapuni), ila ana umri mdg bado na ni mlimbwende sana!

Sasa nimetoka zangu church muda si mrefu, baada ya kupata breakfast nikawa nashushia na ka-juice baridiii!

Nikaanza kumuona ananisogelea, mara ooh kaka nikudokeze jambo? nikamwambia go ahead. Amenizoea ndio, ila leo naona kama kavuka mipaka!

Akaanza ooh kaka jana nilikua Igoz Lounge, kuna mkaka alikua pembeni yetu nikamuelewa sana!!! Nikamuuliza anaposema anamuelewa anamaanisha nini?

Akasema amempenda! nikapigwa na butwaa! Akaendelea kusema eti amempendea perfume aliyokua amepulizia na ana uso wa upole!

Sasa to cut the long story short, we jamaa uliyekutana na mdg wangu jana, kama umo humu naomba uwe mstaarabu, kama umempenda kweli fuata taratibu. Ndio mdg wangu ameshakua mtu mzima lkn sipendi achezewe ktk umri mdg huu, she has a long way to go.

Unafanya kazi CBA, umemuachia business card, ulimkuta dogo na rafiki zake wanakunywa peroni ukataka kuwaagizia wakashukuru tu hawakukubali.

Mimi ni lawyer sasa kama unataka kupotezwa upuuzie haya maneno yangu, nimeshatoa 'disclaimer', jina lako ninalo hapa kwenye hii business card yako, sawa umependwa lkn uje nyumbani ufate taratibu tukupe mke, nimefunguka makusudi kwamba dogo kakupenda ingawa hakukwambia, coz nikificha huenda madhara yakawa makubwa zaidi.

Hata kama haumo humu naomba uzi huu uwe fundisho kwa wengine.

A.C

Dah! Pole sana, dada sio wa kuchungwa namna hiyo na usiruhusu awe anakueleza upuuzi wake wa namna hiyo, hata wakienda kumgegeda atakwambia? Usiuweke ukaribu sana na dada yako ili heshima iwepo.
 
mla kuku wa mweziwe miguu humuelekea kwa vile wewe unagegeda nawe kugegedewa muhiiiiimu
 
Back
Top Bottom