Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

Hivi ni wangapi aliokutana nao na hajakueleza habari zao...

Teh teh teh
 
Ongea na mdogo wako, acha kumfuatilia mtu usiyemjua.

Unaweza kutaka kutandika zulia dunia nzima ili mguu wako usiguse chini.

Au unaweza kuvaa viatu tu.

Kwanza ashukuru hata dogo kumweleza hilo jambo (Kuna watu wanautafuta huo ukaribu na ndugu/watoto wao na hawaupati).

Amicus Curiae, hii ni fursa ya wewe kuitumia kutoa darasa kwa dago, hata kama sio wewe binafsi ila hakikisha unafanya juu chini kuhakikisha dogo anapata muongozo suala la kufuata au kupuuzia ni lake.

Ni sawa na kumfumania mkeo na njemba usio ifahamu kisha unaanza kuiwajibisha wakati mtu mwenye wajibu wa kutunza ndoa yake kwako ni mkeo, hiyo njemba utaiwajibisha siku hiyo, na wengine je? Mfano wako unatumika eneo pana sana zaidi ya hii thraed, thanks.
 
Last edited by a moderator:
Ni mtoto wa baba yangu mdogo, anafanya kazi kwenye Embassy fulani (jina la Embassy kapuni), ila ana umri mdg bado na ni mlimbwende sana!

Sasa nimetoka zangu church muda si mrefu, baada ya kupata breakfast nikawa nashushia na ka-juice baridiii!

Nikaanza kumuona ananisogelea, mara ooh kaka nikudokeze jambo? nikamwambia go ahead. Amenizoea ndio, ila leo naona kama kavuka mipaka!

Akaanza ooh kaka jana nilikua Igoz Lounge, kuna mkaka alikua pembeni yetu nikamuelewa sana!!! Nikamuuliza anaposema anamuelewa anamaanisha nini?

Akasema amempenda! nikapigwa na butwaa! Akaendelea kusema eti amempendea perfume aliyokua amepulizia na ana uso wa upole!

Sasa to cut the long story short, we jamaa uliyekutana na mdg wangu jana, kama umo humu naomba uwe mstaarabu, kama umempenda kweli fuata taratibu. Ndio mdg wangu ameshakua mtu mzima lkn sipendi achezewe ktk umri mdg huu, she has a long way to go.

Unafanya kazi CBA, umemuachia business card, ulimkuta dogo na rafiki zake wanakunywa peroni ukataka kuwaagizia wakashukuru tu hawakukubali.

Mimi ni lawyer sasa kama unataka kupotezwa upuuzie haya maneno yangu, nimeshatoa 'disclaimer', jina lako ninalo hapa kwenye hii business card yako, sawa umependwa lkn uje nyumbani ufate taratibu tukupe mke, nimefunguka makusudi kwamba dogo kakupenda ingawa hakukwambia, coz nikificha huenda madhara yakawa makubwa zaidi.

Hata kama haumo humu naomba uzi huu uwe fundisho kwa wengine.

A.C

.....hahahahhhh, kuwa mpole tu bro.


#MosKwito !
 
Dada yako bikra au tayari kavurugwa?
kwa hiyo huyo mtoto ndo kaajiriwa au? na imekuaje mtoto kaajiriwa?
Ila nakuonea huruma sana
 
Kama anafanya kazi bila shaka ana umri uliopindukia miaka 18, miaka ambayo mtu anaweza kuajiriwa. Kwa sheria za nchi yetu umri wowote baada ya miaka 18 ni wa halali kwa kujiamulia kufanya lolote bila ya kibali cha mzazi wala mlezi. Bila shaka huo ni mkwala tu wala hakuna lolote la kisheria la kumzuia mtu kufanya mahusiano na Binti huyo. Labda kama huyu Bwana kama atatumia njia za kujichukulia sheria mikononi, jambo lililo kinyume cha sheria za nchi hii.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni mtoto wa baba yangu mdogo, anafanya kazi kwenye Embassy fulani (jina la Embassy kapuni), ila ana umri mdg bado na ni mlimbwende sana!

Sasa nimetoka zangu church muda si mrefu, baada ya kupata breakfast nikawa nashushia na ka-juice baridiii!

Nikaanza kumuona ananisogelea, mara ooh kaka nikudokeze jambo? nikamwambia go ahead. Amenizoea ndio, ila leo naona kama kavuka mipaka!

Akaanza ooh kaka jana nilikua Igoz Lounge, kuna mkaka alikua pembeni yetu nikamuelewa sana!!! Nikamuuliza anaposema anamuelewa anamaanisha nini?

Akasema amempenda! nikapigwa na butwaa! Akaendelea kusema eti amempendea perfume aliyokua amepulizia na ana uso wa upole!

Sasa to cut the long story short, we jamaa uliyekutana na mdg wangu jana, kama umo humu naomba uwe mstaarabu, kama umempenda kweli fuata taratibu. Ndio mdg wangu ameshakua mtu mzima lkn sipendi achezewe ktk umri mdg huu, she has a long way to go.

Unafanya kazi CBA, umemuachia business card, ulimkuta dogo na rafiki zake wanakunywa peroni ukataka kuwaagizia wakashukuru tu hawakukubali.

Mimi ni lawyer sasa kama unataka kupotezwa upuuzie haya maneno yangu, nimeshatoa 'disclaimer', jina lako ninalo hapa kwenye hii business card yako, sawa umependwa lkn uje nyumbani ufate taratibu tukupe mke, nimefunguka makusudi kwamba dogo kakupenda ingawa hakukwambia, coz nikificha huenda madhara yakawa makubwa zaidi.

Hata kama haumo humu naomba uzi huu uwe fundisho kwa wengine.

A.C

Pesa huna,nguvu huna,la hasha mkwara ndo silaha yako ya mwisho.hapa jungle law lazima ihusike,usituchoshe na quod pro quo
 
Jamani kwanza dogo ndo kampenda! Waache jamaa atakuja tuu,kuwa mvumilivu
 
Unahoji usomi wangu kama nani??

Wewe ni board member wa TCU?

Au chairman wa Tanganyika Law Society?

Mama.yooo....

nahoji kwasababu umekuwa ndezi la mandez yaan ni bonge la ngumbaro. Unashindwa kutatua mambo madogo kama haya unakuja kutoa vitisho jf! Pumbu kweli ww
 
Nimesoma kwamba mdogo wako kakutana na jamaa jana na yeye mdogo wako kampenda/amevutiwa ( amemuelewa kwa maelezo yako) wewe unataka afuate taratibu. Sasa ndo nikasema watu hawawezi kukutana siku moja waanze kutambulushana lazima wenyewe wafahamiane (sina maana ya kimahaba) na ndio hata nikakwambia kama dada anajielewa atakuwa na mipaka yake katika huo urafiki/uhusiano.
Au we unaposema afuate utaratibu una maana gani?

bora umeliambia linatoa povu tu hapa halina hata point hiri rijamaa sijui rikoje amang'ana
 
Ni mtoto wa baba yangu mdogo, anafanya kazi kwenye Embassy fulani (jina la Embassy kapuni), ila ana umri mdg bado na ni mlimbwende sana!

Sasa nimetoka zangu church muda si mrefu, baada ya kupata breakfast nikawa nashushia na ka-juice baridiii!

Nikaanza kumuona ananisogelea, mara ooh kaka nikudokeze jambo? nikamwambia go ahead. Amenizoea ndio, ila leo naona kama kavuka mipaka!

Akaanza ooh kaka jana nilikua Igoz Lounge, kuna mkaka alikua pembeni yetu nikamuelewa sana!!! Nikamuuliza anaposema anamuelewa anamaanisha nini?

Akasema amempenda! nikapigwa na butwaa! Akaendelea kusema eti amempendea perfume aliyokua amepulizia na ana uso wa upole!

Sasa to cut the long story short, we jamaa uliyekutana na mdg wangu jana, kama umo humu naomba uwe mstaarabu, kama umempenda kweli fuata taratibu. Ndio mdg wangu ameshakua mtu mzima lkn sipendi achezewe ktk umri mdg huu, she has a long way to go.

Unafanya kazi CBA, umemuachia business card, ulimkuta dogo na rafiki zake wanakunywa peroni ukataka kuwaagizia wakashukuru tu hawakukubali.

Mimi ni lawyer sasa kama unataka kupotezwa upuuzie haya maneno yangu, nimeshatoa 'disclaimer', jina lako ninalo hapa kwenye hii business card yako, sawa umependwa lkn uje nyumbani ufate taratibu tukupe mke, nimefunguka makusudi kwamba dogo kakupenda ingawa hakukwambia, coz nikificha huenda madhara yakawa makubwa zaidi.

Hata kama haumo humu naomba uzi huu uwe fundisho kwa wengine.

A.C
Wacha mikwara wewe,
mdogo wako mwenyewe kanishobokea, kolea. Si umeona kasema ''kanielewa'' sana??
 
oo...sijui mdogo wangu ...sijui nn! kama ni kweli unataka aolewe na mtu sahihi weka picha ake hapa tumuone. Serious nataka nimuoe"
 
1.....mdogo wako
2.....ana miaka 17
3.....anafanya kazi embassy fulani
4.....ameenda kiwanja night kali Igoz lounge
5.. ..anajua kupenda kupindukia
6.....we ni loya unamwacha minor afanye yote ya hapo juu na unataka taratibu zifuatwee


NIMECHOKA SANA
 
Back
Top Bottom