Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ameishi hayo maisha, mimi naona hayo mambo yapo ila naona kwa yule binti anayepemda hivyo vitu.sema maisha uliyoishi, badilisha hapo unaposema umeshuhudia
Tena ni changamoto kubwa lazima atapagawa na uhuru amabao ataupata uko chuo ni rahisi sana kupotea njia kule yule bint ambae kwao alikua anapata uhuru wa kutok kdgHii nayo ni changamoto.
Maneno mazuri sana, wanakosa baraka.Mungu hufanya vijana wakose ajira kutokana na matendo wanayoyafanya chuoni
Je akiwa anatongozwa halafu anakataaAkitoboa sana ni miezi 3 ya mwanzoni, baada ya hapo vijana wa hovyo lazma wamkamie tu.😂😂😂! Akifika mwaka wa pili anakuwa nguli wa Shisha.
Hawezi katalia wanaume 10 tena mtoto mwenyewe wa kufugwa. Huyo ataliwa na kupata kichaa cha "uboho" kabisaJe akiwa anatongozwa halafu anakataa
Mtoto kama alikuwa anabanwa banwa mtaani akifika chuo inakuwaga fungulia mbwa.Kwa hiyo wasiopata kila kitu ndio nafasi yao yakuanza kujitanua??
We tengeneza tuu uanze kuzoea🤣😁😁😁mkuu bado sina akili ya kufikia kiwango cha kuanzisha uzi.
Kwa nini uwe na hofu kwa jambo usiloweza kulizuia?.OK; Nadhani muda ukija kujaliwa kuwa na binti wa kumzaa ww mwenyewe au mdogo wako wa tumbo moja na akafikia hatua hiyo ya kujiunga chuo, ndipo utaweza kuelewa kwa nini kuna hali ya wasiwasi kama aliyo nayo huyu mwenzetu mwenye mdogo wake (binti) anayekwenda chuo. Ni rahisi sana kulichunga kundi la ng'ombe 100+, kuliko kumchunga mtu/binadamu mmoja tu mwenye akili timamu. Unaweza kuchizika aisee.
We si ulikuwa Mwenyekiti wa CHAPUTA, unadhani tulikukabidhi uenyekiti kwa bahati mbaya?Mbona mimi nimemaliza chuo sikuwahi gonga au kuwa na demu. Tatizo mnakuza mambo
Ukubwa baba😂😂😂😂😂😂 Mkuu wewe ni understanding sana aiseeee yaani umeongea kitu kizuri sana
Wale maprofesa wakware wazee wasiokua na nguvu za kiume bado wapo hapo mlimani?Atatukuta apa yudizim tunamsubiri
Kuna vitu kwa watoto wa kike ni unkwepekable kabisa kufanyiwa au wao kuvifanya hasa wawapo huko chuoni...inahitaji akili ya ziada kujicontroll kwa mhusika na kuamua kufanya au kutokufanya ila asilimia kubwa ya madogo wa kike chuoni wana gongwa sana!Maisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo" na vijana 4 kwa siku.
Sasa itakuwaje kwa mdogo wangu huyu asiyejua chochote ktk umri wake huu mdogo wa miaka 18 tu?
Wakware wasije wakapita naye mapema na kumharibia future.
Aah! Kwa maisha niliyoyashuhudia chuo, mwili unasisimka ninapoona mdogo wangu wa kike anaelekea huko.
Shida wasichana wanashawishika kiulainiKuna vitu kwa watoto wa kike ni unkwepekable kabisa kufanyiwa au wao kuvifanya hasa wawapo huko chuoni...inahitaji akili ya ziada kujicontroll kwa mhusika na kuamua kufanya au kutokufanya ila asilimia kubwa ya madogo wa kike chuoni wana gongwa sana!
Wana MIKAZO ZEROO!
Maslow's needs theory, "love and belongingness"Kupigwa miti hakukwepeki muache akapate haki yake
Hili ni kama lina ukweli, maana asilimia almost 95 ya niliosoma nao waliokuwa wanaitwa washamba tukiwa chuoni kwa sasa wako katika vitengo/taasisi nyeti sana hapa nchini, pia hawakukaa sana bench.Mungu hufanya vijana wakose ajira kutokana na matendo wanayoyafanya chuoni
Napinga vikali sana, wapo Me wasiotafuna Ke za Watu ila Ke zao huliwa sana nnje ya ndoa...[emoji847]Kama ulitafuna watoto wa watu mzee jiandae pia dada yako kutafunwa,Simple tuu.