Mdogo wangu wa kike ndiyo kamaliza Form 6, safari ya chuo imekaribia. Nawaza ataukwepa vipi "Ukware" wa vyuoni?

Mdogo wangu wa kike ndiyo kamaliza Form 6, safari ya chuo imekaribia. Nawaza ataukwepa vipi "Ukware" wa vyuoni?

OK; Nadhani muda ukija kujaliwa kuwa na binti wa kumzaa ww mwenyewe au mdogo wako wa tumbo moja na akafikia hatua hiyo ya kujiunga chuo, ndipo utaweza kuelewa kwa nini kuna hali ya wasiwasi kama aliyo nayo huyu mwenzetu mwenye mdogo wake (binti) anayekwenda chuo. Ni rahisi sana kulichunga kundi la ng'ombe 100+, kuliko kumchunga mtu/binadamu mmoja tu mwenye akili timamu. Unaweza kuchizika aisee.
Kwa nini uwe na hofu kwa jambo usiloweza kulizuia?.
 
😂😂😂😂😂😂 Mkuu wewe ni understanding sana aiseeee yaani umeongea kitu kizuri sana
Ukubwa baba
Haya mambo yapo tangu enzi
Kuna wazazi walikuwa hawakubali mtoto wa kike awe shule miaka 12 hapana
Wanamuozesha haraka
Hayo yalikuwq enzi zile ingawa mambo yamebadilika lakini wazee walikuwa wanauelewa sana

Siku hizi mtoto wa kike anasafiri peke yake anaenda mkoa wa mbali eti ana kazi 😄 sijui kazi gani mtajua nyie vijana
 
Atatukuta apa yudizim tunamsubiri
Wale maprofesa wakware wazee wasiokua na nguvu za kiume bado wapo hapo mlimani?
Bado wanakamata mabinti za watu?
Je wale walimu wa Masters wasio tulia ofisini na kuwaambia watoto wa kike waje Udasa bado wako?
Hebu niulizie kwa watu wa economics, profesa OSORO amestaafu au bado anafundisha? (Wanafunzi wake kibao walishastaafu)
 
Maisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo" na vijana 4 kwa siku.

Sasa itakuwaje kwa mdogo wangu huyu asiyejua chochote ktk umri wake huu mdogo wa miaka 18 tu?

Wakware wasije wakapita naye mapema na kumharibia future.

Aah! Kwa maisha niliyoyashuhudia chuo, mwili unasisimka ninapoona mdogo wangu wa kike anaelekea huko.
Kuna vitu kwa watoto wa kike ni unkwepekable kabisa kufanyiwa au wao kuvifanya hasa wawapo huko chuoni...inahitaji akili ya ziada kujicontroll kwa mhusika na kuamua kufanya au kutokufanya ila asilimia kubwa ya madogo wa kike chuoni wana gongwa sana!

Wana MIKAZO ZEROO!
 
Kuna vitu kwa watoto wa kike ni unkwepekable kabisa kufanyiwa au wao kuvifanya hasa wawapo huko chuoni...inahitaji akili ya ziada kujicontroll kwa mhusika na kuamua kufanya au kutokufanya ila asilimia kubwa ya madogo wa kike chuoni wana gongwa sana!

Wana MIKAZO ZEROO!
Shida wasichana wanashawishika kiulaini
 
Kupigwa miti hakukwepeki muache akapate haki yake
Maslow's needs theory, "love and belongingness"
Nimepania kula toto bichi bichi chuoni [emoji39]

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Screenshot_2024-05-18-16-20-31-24_680d03679600f7af0b4c700c6b270fe7.jpg
 
Back
Top Bottom