Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu. Mitego inakuja pale kun somo linamsumbua na kuna vijana hilo somo wanapasua vizuri tu, atajisogeza mwenyewe. Ila kama kichwani yuko good we tulia tu.Maisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo" na vijana 4 kwa siku.
Sasa itakuwaje kwa mdogo wangu huyu asiyejua chochote ktk umri wake huu mdogo wa miaka 18 tu?
Wakware wasije wakapita naye mapema na kumharibia future.
Aah! Kwa maisha niliyoyashuhudia chuo, mwili unasisimka ninapoona mdogo wangu wa kike anaelekea huko.
Sure mzee. Kwa sasa wanawake wamepewa unlimited freedom kwaiyo ni suala la kuwapa taadhari tu mengine wajiongoze wenyewe. Mimi nina mdogo angu wa kike namjua dogo anaempelekea moto lakini siwezi nikawaingilia ukizingaria wote ni watu wazima. Nitachukua hatua nikiona mdogo angu anapelekwa kwenye mkumbo mbaya.Hakuna fomyula ndugu yangu. Mdogo wako anaweza kuondoka chuoni kama alivyokwenda.
Pia anaweza akaangukia kwenye ndoa bubu za vyuoni miaka miwili anaishi na boya kama mke na mume kula na kupakua kabisa halafu wakimaliza chuo jamaa hilo linakwenda zake huko kusaka mbususu zingine. Na hapo si ajabu na mimba kadhaa atatoa kama siyo mwangalifu.
Ndoa bubu hizo pia zinaweza kuzaa ndoa halali kama lishemeji lako litanogewa na kuamua kubeba jumla.
Cha kufanya huna. Ana miaka 18 na huyo ni mtu mzima tayari. Cho chote atakachoamua kufanya ni juu yake ali mradi tu awe anajua consequences zake. Kama big bro, wewe endelea tu kumuombea na kumshauri. Mengine yote mwachie Mungu; maana ukiyawaza sana haya mambo utaishia tu kujipa siteresi wakati hata la kufanya huna!
Kwa Abroad sina uhakikaHivi hawa wanaoenda Abroad nao huwa wanaendekeza hizi tabia za kuliwa?
Au hawa wa local ndio wanajiachia huku nyumbani tu..
Inawezekana ikawa sababu mbona inajulikana hiyoKwa hiyo wasiopata kila kitu ndio nafasi yao yakuanza kujitanua??
Akitoboa sana ni miezi 3 ya mwanzoni, baada ya hapo vijana wa hovyo lazma wamkamie tu.😂😂😂! Akifika mwaka wa pili anakuwa nguli wa Shisha.Maisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo" na vijana 4 kwa siku.
Sasa itakuwaje kwa mdogo wangu huyu asiyejua chochote ktk umri wake huu mdogo wa miaka 18 tu?
Wakware wasije wakapita naye mapema na kumharibia future.
Aah! Kwa maisha niliyoyashuhudia chuo, mwili unasisimka ninapoona mdogo wangu wa kike anaelekea huko.
Anaweza apate kila kitu ila sio cha kutuliza upwiru.Jitaid apate kila kitu ili akiamua aende huko ni yeye sasa
Kikubwa ni kujitambua tuu
Atleast itapunguza ile ya kutumika kupata helaAnaweza apate kila kitu ila sio cha kutuliza upwiru.
Bora atumike apate na pesa kuliko kutumika bure na asiolewe.Atleast itapunguza ile ya kutumika kupata hela
Shida ukianza hvyo ndo yatakuwa maisha yake moja kwa mojaBora atumike apate na pesa kuliko kutumika bure na asiolewe.
Kweli kabisaShida ukianza hvyo ndo yatakuwa maisha yake moja kwa moja
Mkuu,Maisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo" na vijana 4 kwa siku.
Sasa itakuwaje kwa mdogo wangu huyu asiyejua chochote ktk umri wake huu mdogo wa miaka 18 tu?
Wakware wasije wakapita naye mapema na kumharibia future.
Aah! Kwa maisha niliyoyashuhudia chuo, mwili unasisimka ninapoona mdogo wangu wa kike anaelekea huko.
Mimi pia nashikiria hiyo record ongezea na ulevi + kubet 😊😅Mbona mimi nimemaliza chuo sikuwahi gonga au kuwa na demu. Tatizo mnakuza mambo
Kuna umri kwa wanawake wanatakiwa kupigwa haswa na wanaume kupiga hasa ila kwa tahadhari kubwa na kuzingatia afya na mimba , kinyume na apo utakuja zikimbiza papuchi uzeeni na wajukuu zako.Shida ukianza hvyo ndo yatakuwa maisha yake moja kwa moja