Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Kutafunwa sio lazima Kaka zako wawe washatafuna(kama ulivyosema wewe).Malipo ni hapa hapa mkuu,unataka atafunwe wapi ?
Mimi nimekuambia hii kitu haina formula, na nikakuambia kuna jamaa hakuwahi kutafuna ila mdogo wake alitafunwa, tena huyo jamaa ndio alikuwa mlezi wa karibu kama huyu mleta mada anavyohofia.