Mdomo unaponza sana Tanzania, hii nchi haihitaji uwe kiherehere

Mdomo unaponza sana Tanzania, hii nchi haihitaji uwe kiherehere

Kupigania haki ni kuwa kiherehere?

Wapigania haki et lazima wapotezwe?

Kuishi vizuri hapa Tanzania ni kutafuta hela, utawezaje kutafuta hela katika mazingira yasiyo ya haki?

Watekaji hawajatoa orodha wala sababu za utekaji so usiamini kuwa wewe uko salama kiasi hicho!
Ndiyo unaweza kuwa salama, Je, ndugu, jamaa, rafiki au familia yako!?
Kweli watu wamepoteza uwezo wa kufikiri.
Haki haipiganiwi Kwa mdomo wewe zinduka hii ni Africa na hapa ni tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naomba kusema, tuna safari ndefu sana kama Taifa. Na huyu ndiyo mfano wa vijana wa Kitamzania tulionao. Kwanini Serikali isifanye kama inaongoza maiti.
Rudi shule kitamzania ndio nini Binti au wewe ndio maiti maana hata nch9 Yako umeshindwa kuiandika 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tanzania hii ukiwa kiherehere kuingilia shughuli za watu lazima upotee. Kuna wale wanaojiita eti wanapigania haki hahahaha hivi haki inapiganiwa k.wa mdomo ndio maana mtaendelea kutupwa ufukweni sababu ni viherehere kuingiliwa mingo za watu ukitaka kuishi kwa amani hapa tanzania ni kutafuta hela na kuishi maisha yako usijiingize kwenye mambo yanaitwa siasa

Mdomo unaponza mwisho wa siku unakutwa pembeni ya ufukwe wa bahari.
Akili kama hizi ni za Watu waliokata Tamaa, Mimi si mmoja wao
 
Tanzania hii ukiwa kiherehere kuingilia shughuli za watu lazima upotee. Kuna wale wanaojiita eti wanapigania haki hahahaha hivi haki inapiganiwa k.wa mdomo ndio maana mtaendelea kutupwa ufukweni sababu ni viherehere kuingiliwa mingo za watu ukitaka kuishi kwa amani hapa tanzania ni kutafuta hela na kuishi maisha yako usijiingize kwenye mambo yanaitwa siasa

Mdomo unaponza mwisho wa siku unakutwa pembeni ya ufukwe wa bahari.
Sasa utafanya vipi mambo yako huku unadaiiwa kodi lukuki?
 
Kupigania haki ni kuwa kiherehere?

Wapigania haki et lazima wapotezwe?

Kuishi vizuri hapa Tanzania ni kutafuta hela, utawezaje kutafuta hela katika mazingira yasiyo ya haki?

Watekaji hawajatoa orodha wala sababu za utekaji so usiamini kuwa wewe uko salama kiasi hicho!
Ndiyo unaweza kuwa salama, Je, ndugu, jamaa, rafiki au familia yako!?
Kweli watu wamepoteza uwezo wa kufikiri.
Achana nae ni low minded baboon
 
Tanzania hii ukiwa kiherehere kuingilia shughuli za watu lazima upotee. Kuna wale wanaojiita eti wanapigania haki hahahaha hivi haki inapiganiwa k.wa mdomo ndio maana mtaendelea kutupwa ufukweni sababu ni viherehere kuingiliwa mingo za watu ukitaka kuishi kwa amani hapa tanzania ni kutafuta hela na kuishi maisha yako usijiingize kwenye mambo yanaitwa siasa

Mdomo unaponza mwisho wa siku unakutwa pembeni ya ufukwe wa bahari.
Soma hapo kwenye red.
Mbona ameandika Tanzania tangu mwanzo mkuu!
 
Tanzania hii ukiwa kiherehere kuingilia shughuli za watu lazima upotee. Kuna wale wanaojiita eti wanapigania haki hahahaha hivi haki inapiganiwa k.wa mdomo ndio maana mtaendelea kutupwa ufukweni sababu ni viherehere kuingiliwa mingo za watu ukitaka kuishi kwa amani hapa tanzania ni kutafuta hela na kuishi maisha yako usijiingize kwenye mambo yanaitwa siasa

Mdomo unaponza mwisho wa siku unakutwa pembeni ya ufukwe wa bahari.
hujui ulichoandika ndugu, ingekua wewe ndio mama yako ama baba yako ameuliwa kikatili vile ndio akili yako ya makalioni ingekukaa sawa, wewe ni nani hata ufurahie wenzio wanaouawa?kuna kijikundi kinajiona kina haki hata ya kutoa uhai wa wengine.Mungu wako akupe akili ugundue kuwa wewe ni miongoni mwa mapoyoyo na mapunguani hapo Tanzania.
 
Ndio products za CCM hizo. Nchi ikishakuwa na vilaza wengi uhakika wa kubaki madarakani unakuwepo.
Nasikitika na wewe pia ni kilaza umeuhusu ccm kuwa madarakani
mial 60 Sasa hahahahahahahahaa🤣🤣🤣
 
Haki inapiganiwa kwa vitendo na kuweka uoga pembeni kwa maandamano ya amani bila kuogopa chochote, sasa kama nimuoga wa kufanya vitendo ukategemea mdomo tu ni kweli utaumizwa maana wanafaham wewe ni coward ujasiri wako ni mtandaoni tu.

Ila wakiwaona barabaran kwa kila ovu mnalofanyiwa tena maandamano yasiyo na kikomo hapo lazima wao ndo wawe waoga.
 
Ukiwa kwenye msiba usiokuhusu, unaweza pata jeuri ya kwenda dukani kununua karata ili mcheze msibani hapo kupoteza muda kwa ajili ya kusubiri mazishi ila ukiwa kwenye msiba unaokuhusu, hata muda wa kuoga huwa unapatikana kwa mbinde mnoo!

Ni mawazo yako pia, uhuru wa kujieleza umepewa na katiba ila jaribu kuvivaa viatu vya watu wa familia ya huyu bwana.
 
Back
Top Bottom