Mdomo unaponza sana Tanzania, hii nchi haihitaji uwe kiherehere

Mdomo unaponza sana Tanzania, hii nchi haihitaji uwe kiherehere

Huna akili, huwezi kuona ni spelling error hiyo. Wewe ndiyo unahitaji kurudi shule, ujielimishe. Haya unaitwa ukale ugali hapo kwa shemeji yako, chakula kimeiva. Ukishiba uje ujaze nyuzi zako za hovyo JF.
Mama watoto ebu fungua PM..
 
Mkuu, kwa hiyo unashauri wanachi wakae kama ngombe zizini wanaosubiri zamu ya kiswagwa kwenda machinjioni?

Kumbuka hawa ni binadamu. wana akili na utashi.
 
Swali langu Moja mbona wewe hutaki kupita kwenye hii dunia bado unaishi nijibu basi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watu mnaojaza maemoji mengi na kucheka cheka hamko serious na mna utoto mwingi bado.
 
Back
Top Bottom