Mdomo unaponza sana Tanzania, hii nchi haihitaji uwe kiherehere

Mdomo unaponza sana Tanzania, hii nchi haihitaji uwe kiherehere

Rudi shule kitamzania ndio nini Binti au wewe ndio maiti maana hata nch9 Yako umeshindwa kuiandika 🤣🤣🤣🤣🤣
Huna akili, huwezi kuona ni spelling error hiyo. Wewe ndiyo unahitaji kurudi shule, ujielimishe. Haya unaitwa ukale ugali hapo kwa shemeji yako, chakula kimeiva. Ukishiba uje ujaze nyuzi zako za hovyo JF.
 
Haki inapiganiwa kwa vitendo na kuweka uoga pembeni kwa maandamano ya amani bila kuogopa chochote, sasa kama nimuoga wa kufanya vitendo ukategemea mdomo tu ni kweli utaumizwa maana wanafaham wewe ni coward ujasiri wako ni mtandaoni tu.

Ila wakikuona barabaran kwa kila ovu mnalofanyiwa hapo lazima wao ndo wawe waoga.
Hahaha na huu ndio ukweli ambao watanzania hawautaki sababu ni waoga kufa hatariiii🤣🤣🤣🤣🤣
 
Haki haipiganiwi Kwa mdomo wewe zinduka hii ni Africa na hapa ni tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣
Uliwahi kumsikia Mzee Ally Kibao akipinga au kukubali hadharani?
Kwanini ametekwa na kuuawa??
 
Huna akili, huwezi kuona ni spelling error hiyo. Wewe ndiyo unahitaji kurudi shule, ujielimishe. Haya unaitwa ukale ugali hapo kwa shemeji yako, chakula kimeiva. Ukishiba uje ujaze nyuzi zako za hovyo JF.
Hahahaha nimeshaenda kula vipi wewe bado hujala binti🤣🤣🤣🤣
 
Ukiwa kwenye msiba usiokuhusu, unaweza pata jeuri ya kwenda dukani kununua karata ili mcheze msibani hapo kupoteza muda kwa ajili ya kusubiri mazishi ila ukiwa kwenye msiba unaokuhusu, hata muda wa kuoga huwa unapatikana kwa mbinde mnoo!

Ni mawazo yako pia, uhuru wa kujieleza umepewa na katiba ila jaribu kuvivaa viatu vya watu wa familia ya huyu bwana.
Hata Wewe pia ukiwa kiherehere utakutwa ufukweni
 
Uliwahi kumsikia Mzee Ally Kibao akipinga au kukubali hadharani?
Kwanini ametekwa na kuuawa??
Kwani nimemtaja mtu hapa mbona unataka majina ya watu kulikoni🤣🤣🤣🤣
 
Hahahah mnasikitisha sana yaani kelele mnaishia jamii forum hahahahahahahaha
Kila machafuko unayoona huwa mambo hayaanzi ghafla, wananchi hawaanzi ku react suddenly, hata serikali nyingi duniani zilizopinduliwa ni baada ya wananchi kunyanyaswa kwa muda mrefu na kuchoka manyanyaso.

Ni time ticking bomb. Muda ukifika litalipuka.
 
Kila machafuko unayoona huwa mambo hayaanzi ghafla, wananchi hawaanzi ku react suddenly, hata serikali nyingi duniani zilizopinduliwa ni baada ya wananchi kunyanyaswa kwa muda mrefu na kuchoka manyanyaso.

Ni time ticking bomb. Muda ukifika litalipuka.
Hahahaha nacheka sana yaani kumbe mnaota ndoto ya mchana eti muda ukifika litalipuka kweli watu mmedata🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwahiyo kufanya siasa inchi hii ni uhaini, sio?
Mukitaka kutuua mutuue, lakini kamwe hatuwezi kumuachia nguruwe shamba la mihogo afanye anacho taka.
Mbona kashafanya anachotaka miaka 60 na anaendelea kufanya analotaka na hamna mtalofanya hahahahaha 🤣🤣🤣🤣
 
Kwa system ya Bongo jinsi ilivyo hutakiw kuongea ila kufanya matendo magumu tuu, tendo lenyewe ni kujitoa muhanga tuu kama alivyofanya Hamza kipindi kile sasa this time n kujilipua karibu na kiongozi anayezingua.
 
Kwa system ya Bongo jinsi ilivyo hutakiw kuongea ila kufanya matendo magumu tuu, tendo lenyewe ni kujitoa muhanga tuu kama alivyofanya Hamza kipindi kile sasa this time n kujilipua karibu na kiongozi anayezingua.
Hahahaha hiyo ndio dawa ila ukijikuta kazi kupiga kelele hata mguu wa kuku huna utakutwa pori la katavi au ufukweni unaelea wavuvi wakuokote
 
Haki inapiganiwa kwa vitendo na kuweka uoga pembeni kwa maandamano ya amani bila kuogopa chochote, sasa kama nimuoga wa kufanya vitendo ukategemea mdomo tu ni kweli utaumizwa maana wanafaham wewe ni coward ujasiri wako ni mtandaoni tu.

Ila wakiwaona barabaran kwa kila ovu mnalofanyiwa tena maandamano yasiyo na kikomo hapo lazima wao ndo wawe waoga.
😥Hata hiyo njia ya maandamano ya Amani bado ni uoga tu. CCM ni li dude sio lakuonewa huruma tena na tena, Watu waingie msituni tu. Inasound kiujinga lakini ndio twende tu, Vinginevyo tuendelee tu.
R.I.P Dr Mvungi
 
😥Hata hiyo njia ya maandamano ya Amani bado ni uoga tu. CCM ni li dude sio lakuonewa huruma tena na tena, Watu waingie msituni tu. Inasound kiujinga lakini ndio twende tu, Vinginevyo tuendelee tu.
R.I.P Dr Mvungi
Yaani hiyo ndio dawa pekee ila unajikuta mwanaharakati halafu hata mguu wa kuku huna lazima ukutwe pori la katavi au ufukweni unaelea kama samaki
 
Shida Nchi yetu ina wanawake wengi wenye jinsia ya kiume.
 
Tanzania hii ukiwa kiherehere kuingilia shughuli za watu lazima upotee. Kuna wale wanaojiita eti wanapigania haki hahahaha hivi haki inapiganiwa k.wa mdomo ndio maana mtaendelea kutupwa ufukweni sababu ni viherehere kuingiliwa mingo za watu ukitaka kuishi kwa amani hapa tanzania ni kutafuta hela na kuishi maisha yako usijiingize kwenye mambo yanaitwa siasa

Mdomo unaponza mwisho wa siku unakutwa pembeni ya ufukwe wa bahari.
Mwalimu Nyerere na babu zake mzee Mohamed Said Wangekua akili kama zako sijui ingekuaje
Fikra za hivi ni rahis sana kuupokea upinde na kuishi kwa kupindwa maisha yako yote
 
Back
Top Bottom