Mdomo unaponza sana Tanzania, hii nchi haihitaji uwe kiherehere

Haki haipiganiwi Kwa mdomo wewe zinduka hii ni Africa na hapa ni tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naomba kusema, tuna safari ndefu sana kama Taifa. Na huyu ndiyo mfano wa vijana wa Kitamzania tulionao. Kwanini Serikali isifanye kama inaongoza maiti.
Rudi shule kitamzania ndio nini Binti au wewe ndio maiti maana hata nch9 Yako umeshindwa kuiandika 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Akili kama hizi ni za Watu waliokata Tamaa, Mimi si mmoja wao
 
Sasa utafanya vipi mambo yako huku unadaiiwa kodi lukuki?
 
Achana nae ni low minded baboon
 
Soma hapo kwenye red.
Mbona ameandika Tanzania tangu mwanzo mkuu!
 
hujui ulichoandika ndugu, ingekua wewe ndio mama yako ama baba yako ameuliwa kikatili vile ndio akili yako ya makalioni ingekukaa sawa, wewe ni nani hata ufurahie wenzio wanaouawa?kuna kijikundi kinajiona kina haki hata ya kutoa uhai wa wengine.Mungu wako akupe akili ugundue kuwa wewe ni miongoni mwa mapoyoyo na mapunguani hapo Tanzania.
 
Ndio products za CCM hizo. Nchi ikishakuwa na vilaza wengi uhakika wa kubaki madarakani unakuwepo.
Nasikitika na wewe pia ni kilaza umeuhusu ccm kuwa madarakani
mial 60 Sasa hahahahahahahahaa🤣🤣🤣
 
Haki inapiganiwa kwa vitendo na kuweka uoga pembeni kwa maandamano ya amani bila kuogopa chochote, sasa kama nimuoga wa kufanya vitendo ukategemea mdomo tu ni kweli utaumizwa maana wanafaham wewe ni coward ujasiri wako ni mtandaoni tu.

Ila wakiwaona barabaran kwa kila ovu mnalofanyiwa tena maandamano yasiyo na kikomo hapo lazima wao ndo wawe waoga.
 
Ukiwa kwenye msiba usiokuhusu, unaweza pata jeuri ya kwenda dukani kununua karata ili mcheze msibani hapo kupoteza muda kwa ajili ya kusubiri mazishi ila ukiwa kwenye msiba unaokuhusu, hata muda wa kuoga huwa unapatikana kwa mbinde mnoo!

Ni mawazo yako pia, uhuru wa kujieleza umepewa na katiba ila jaribu kuvivaa viatu vya watu wa familia ya huyu bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…