Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Pole sana naona unahasira ila lakufanya huna unabaki kulialia mtandaoni subiri utupwe ufukweni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwalimu Nyerere na babu zake mzee Mohamed Said Wangekua akili kama zako sijui ingekuaje
Fikra za hivi ni rahis sana kuupokea upinde na kuishi kwa kupindwa maisha yako yote
Hahahaha 🤣🤣🤣Abduli umekuwa kiburi Sana.
Ndio ukweli wenyewe huoKuna ukweli hap
Hahahaha ikosoe uone kama hujatupwa katavi au ufukweni wavuvi wakuokote🤣🤣🤣🤣🤣Unafikiria ni sawa kuliwa kichwa ukiisema au kuikosoa serikali.
Unafikiri Nyerere na akina Mkwawa nk wangekaa kimya na kuendelea na mambo yao tungepata Uhuru leo hii?
baeleze papaa,baambie!!!,,mimi mwenyewe sipendagi kufuatilia mambo ya wa2, ata nikikuta kichaka kinatikisika kwa wa2 kunyanduana mimi ata sipigi chabo naangalia mbali!!!Tanzania hii ukiwa kiherehere kuingilia shughuli za watu lazima upotee. Kuna wale wanaojiita eti wanapigania haki hahahaha hivi haki inapiganiwa kwa mdomo! Ndio maana mtaendelea kutupwa ufukweni sababu ni viherehere kuingiliwa mingo za watu
Ukitaka kuishi kwa amani hapa Tanzania ni kutafuta hela na kuishi maisha yako usijiingize kwenye mambo yanaitwa siasa
Mdomo unaponza mwisho wa siku unakutwa pori la katavi au pembeni ya ufukwe wa bahari unaelea kama samaki.
Kweli kabisa mkuu. Huwezi kuta watoto wa wanasiasa wakubwa wa upinzani wanabwatuka hata watoto wa wanasiasa wa CCM huwa ni ngumu kukuta wanatukana wapinzani. Watoto wa wananchi wa kawaida ndo hutumika kwenye upuuzi.Ulisha sikia mtoto wa mwanasiasa yeyote anatukana viongozi au kuikashifu Serikali iliyopo madarakani?.
Siri ya nini cha kufanya kwenye siasa kiko hapo
Hahahaha kama tunapita mbona wewe bado unaishi hutaki kupita 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nasty bwai unatakiwq ujue dunian tunapita tu unamuua mtu kesho wewe unakufa na homa ya nyani
Unafurahia kuua watu ili waliokutuma waishi vizuri na familia zao, na kila siku wanaambia watoto wao wasome na pia wamuombe sana Mungu wasijekua kama weweHahahaha kama tunapita mbona wewe bado unaishi hutaki kupita 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Swali langu Moja mbona wewe hutaki kupita kwenye hii dunia bado unaishi nijibu basi🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unafurahia kuua watu ili waliokutuma waishi vizuri na familia zao, na kila siku wanaambia watoto wao wasome na pia wamuombe sana Mungu wasijekua kama wewe
Tanzania hii ukiwa kiherehere kuingilia shughuli za watu lazima upotee. Kuna wale wanaojiita eti wanapigania haki hahahaha hivi haki inapiganiwa kwa mdomo! Ndio maana mtaendelea kutupwa ufukweni sababu ni viherehere kuingiliwa mingo za watu
Ukitaka kuishi kwa amani hapa Tanzania ni kutafuta hela na kuishi maisha yako usijiingize kwenye mambo yanaitwa siasa
Mdomo unaponza mwisho wa siku unakutwa pori la katavi au pembeni ya ufukwe wa bahari unaelea kama samaki.
Maendeleo Gani hayo wanayataka?Watanzania wanataka maendeleo. Wanaongea sababu kuna mambo yanawavunja moyo sana, na yakisemwa wanaonekana ni maadui.
Tuache rushwa, matumizi mabaya ya madaraka na wizi wa mali ya umma.
Tujenge nchi yenye uimara. Kama haya hayafanyiki, watanzania hawa wapole, ipo siku watayakataa.
Majuto mjukuu waswahili wanasema
Maendeleo Gani hayo wanayataka?
Fatma KarumeUlisha sikia mtoto wa mwanasiasa yeyote anatukana viongozi au kuikashifu Serikali iliyopo madarakani?.
Siri ya nini cha kufanya kwenye siasa kiko hapo
Fatuma karume ni bibi sio mtotoFatma Karume
Tanzania hii ukiwa kiherehere kuingilia shughuli za watu lazima upotee. Kuna wale wanaojiita eti wanapigania haki hahahaha hivi haki inapiganiwa kwa mdomo! Ndio maana mtaendelea kutupwa ufukweni sababu ni viherehere kuingiliwa mingo za watu
Ukitaka kuishi kwa amani hapa Tanzania ni kutafuta hela na kuishi maisha yako usijiingize kwenye mambo yanaitwa siasa
Mdomo unaponza mwisho wa siku unakutwa pori la katavi au pembeni ya ufukwe wa bahari unaelea kama samaki.