Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
mnakaa pamoja..?Hi
Mtu wangu ana nuka mdomo nashindwa mwambia kila nikikutana nae feeling zinakata kabisa nashindwa kumwambia nafanyaje?
Hapanamnakaa pamoja..?
We acha tu kakaAiseee pagumu hapo
unajua anatumia dawa gani ya meno..?Hapana
Hautoi harufuWewe vipi wako haunuki?
Naonaga ana nunua vigodrunajua anatumia dawa gani ya meno..?
How?ukimpenda utamjali
NitajaribuKila Ukikutana nae Mpe big g mwambie inasaidia kurekebisha kinywa. Hasa big g za MINT
kaa nae, mwambie kwa kumuelewesha mtaftie dawa nzuri ya kinywa au mpeleke wa dentist huko nk...........How?
SawaKama hamkai wote, Mind your stupid business
Hamkai wote, inakuhusu Nini?Hapana
W sijamuoakaa nae, mwambie kwa kumuelewesha mtaftie dawa nzuri ya kinywa au mpeleke wa dentist huko nk...........
Hapo ni kumwambia tu japo ukweli uwaga mchungu kuliko kukaa kimyaHi
Mtu wangu ana nuka mdomo nashindwa mwambia kila nikikutana nae feeling zinakata kabisa nashindwa kumwambia nafanyaje?